kwa kifupi ni kwamba ajira za walimu zipo lakini mfumo wa kuajir lazima ubadilike kwa serikali ya awamu ya tano...jitahidini sana kujifunza namna ya kuandika APPLICATION LETTER pamoja na CV na jiandaeni kwa INTERVIEW watakaofanya vizur ndio watakao ajiriwa.
ata kama ajira zikisitishwa, vyuo havitaacha kudahili wanafunzi katika fani ya ualimu kwa sababu ni fani kama fani nyingine tukumbuke pia kuwa wanafunz hawasomi bure na pia wanafunzi ndio wanaomba kupangwa vyuo flani.
Siwezi kujilaumu au kuwalaumu wanafunzi wa Tanzania,
Ila nailaumu serikali kwa kukumbatia mfumo huu wa elimu usioweza kumuandaa mtu kujiajiri na kujiamini..tatizo siyo lugha kuna watu wanajua kuongea kiingereza vizuri lakini ni waoga na bado wana fikra za kuajiriwaa.
Pia unaposema tuna vyuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.