Recent content by AfriNet Core Tz

  1. A

    JamiiForums Tanzania Je! Umehitimu chuo na huna ajira?

    20' ni tofauti na 20
  2. A

    JamiiForums Tanzania Nahitaji office space ya kushare

    Kuna frame Sinza Makaburini - Igesa Road, Karibu na Mwika Hotel Wasiliana nami kwa No. +255 713 741 758
  3. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Laptop imegoma kuwaka

    Fika AfriNet Core Tanzania kwa Tatizo lolote la Computer Kama upo Dar ea salaa TUPO: Sinza Makaburini 0713 741 758 info@afrinet.co.tz corneliousbk@gmail.com
  4. A

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kutengenezewa website

    AfriNet Core Tanzania ndiyo msaada wa tatizo lako. Tupo: Sinza Makaburini +255 713 741 758 corneliousbk@gmail.com
  5. A

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni jinsi ya kuanzisha jarida la jamii

    Am a Graphic Designer by Professional, na kuna mkono wangu Bab Kubwa Magazine. Pia nafahamu taratibu zote za kuanzisha jarida na all kinds of publication Materials kama Mabango makubwa ya Barabarani n.k. Si hivyo tu, pia nipo njiani kuachia Magazine yangu na tupo jikoni tunaandaa Magazine ya...
  6. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuanzisha jarida

    Am a Graphic Designer by Professional, na kuna mkono wangu Bab Kubwa Magazine. Pia nafahamu taratibu zote za kuanzisha jarida na all kinds of publication Materials kama Mabango makubwa ya Barabarani n.k. Si hivyo tu, pia nipo njiani kuachia Magazine yangu na tupo jikoni tunaandaa Magazine ya...
  7. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usipite bila kusoma hapa..! Ni muhimu kwako...

    Habari wana JF, Mimi ni Mjasiriamali mwenye umri wa 20' yrs. Nimesoma Bachelor of Science in Computer Science Software Engineering, nimejiajiri kwenye industry ya IT. Nimefungua ofisi Sinza Makaburini mtaa wa sokoni. Ofisi imesajiliwa Brela na TRA, pia ofisi ina furniture (Meza za ofisi...
  8. A

    JamiiForums Tanzania Je! Umehitimu chuo na huna ajira?

    Asanteni sana wadau wote: JAPO Nimejifunza mengi sana kwa nini Vijana wahitimu tunalia AJIRA. Kusoma na kuhitimu ni jambo moja LAKINI Kujua nilichosoma na kukifanyia kazi ni jambo jingine. BADO NAHITAJI MTU ANAYEJUA...!
  9. A

    JamiiForums Tanzania Je! Umehitimu chuo na huna ajira?

    Habari wana JF, Mimi ni Mjasiriamali mwenye umri wa 20' yrs. Nimesoma Bachelor of Science in Computer Science Software Engineering, nimejiajiri kwenye industry ya IT. Nimefungua ofisi Sinza Makaburini mtaa wa sokoni. Ofisi imesajiliwa Brela na TRA, pia ofisi ina furniture (Meza za ofisi...
  10. A

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuanzisha Magazine (Jarida)

    Tuwasiliane kwenye 0713 741 758/ 0755 257 508. Nina Idea kama iyo na tayari nimeshafanya hatua kadhaa muhimu. Karibu kwa ushirikiano ndugu.
  11. A

    JamiiForums Tanzania Je! Umehitimu chuo na huna ajira?

    #tm25 : Samahani ndugu, sababu za kumuhitaji mtu mwenye vigezo hivyo ni kwamba nime focus kwenye utendaji kazi zaidi katika kada hii ya IT. Wateja wa huduma zetu wanajali sana UBORA wa huduma. Ndiyo tunaanza, huenda mbeleni tukahitaji watu wa kada nyingine. Asante kwa kuonesha ushirikiano ndugu
  12. A

    JamiiForums Tanzania Je! Umehitimu chuo na huna ajira?

    #the-sniper : Thanks joh, Together WE CAN...
  13. A

    JamiiForums Tanzania Je! Umehitimu chuo na huna ajira?

    #Tamalisa : Samahani ndugu, anahitajika mtu mwenye vigezo vilivyoainishwa hapo juu. Asante kwa ushirikiano
  14. A

    JamiiForums Tanzania Je! Umehitimu chuo na huna ajira?

    Business is ON ndugu, ukiwa tayari kwa vigezo hivyo tuwasiliane tuone tunakutana wapi kwa mazungumzo zaidi...
  15. A

    JamiiForums Tanzania Eneo la biashara linauzwa

    Banda la biashara, mnunuzi atakubaliana na mwenye ardhi jinsi ya kulipana. Sisi kwa mwezi tulikuwa tunamlipa elfu hamsini (tsh.50,000/-)
Back
Top Bottom