Fika AfriNet Core Tanzania kwa Tatizo lolote la Computer
Kama upo Dar ea salaa
TUPO: Sinza Makaburini
0713 741 758
info@afrinet.co.tz
corneliousbk@gmail.com
Am a Graphic Designer by Professional, na kuna mkono wangu Bab Kubwa Magazine. Pia nafahamu taratibu zote za kuanzisha jarida na all kinds of publication Materials kama Mabango makubwa ya Barabarani n.k.
Si hivyo tu, pia nipo njiani kuachia Magazine yangu na tupo jikoni tunaandaa Magazine ya...
Am a Graphic Designer by Professional, na kuna mkono wangu Bab Kubwa Magazine. Pia nafahamu taratibu zote za kuanzisha jarida na all kinds of publication Materials kama Mabango makubwa ya Barabarani n.k.
Si hivyo tu, pia nipo njiani kuachia Magazine yangu na tupo jikoni tunaandaa Magazine ya...
Habari wana JF,
Mimi ni Mjasiriamali mwenye umri wa 20' yrs. Nimesoma Bachelor of Science in Computer Science Software Engineering, nimejiajiri kwenye industry ya IT.
Nimefungua ofisi Sinza Makaburini mtaa wa sokoni. Ofisi imesajiliwa Brela na TRA, pia ofisi ina furniture (Meza za ofisi...
Asanteni sana wadau wote: JAPO Nimejifunza mengi sana kwa nini Vijana wahitimu tunalia AJIRA. Kusoma na kuhitimu ni jambo moja LAKINI Kujua nilichosoma na kukifanyia kazi ni jambo jingine.
BADO NAHITAJI MTU ANAYEJUA...!
Habari wana JF,
Mimi ni Mjasiriamali mwenye umri wa 20' yrs.
Nimesoma Bachelor of Science in Computer Science Software Engineering, nimejiajiri kwenye industry ya IT.
Nimefungua ofisi Sinza Makaburini mtaa wa sokoni. Ofisi imesajiliwa Brela na TRA, pia ofisi ina furniture (Meza za ofisi...
#tm25 : Samahani ndugu, sababu za kumuhitaji mtu mwenye vigezo hivyo ni kwamba nime focus kwenye utendaji kazi zaidi katika kada hii ya IT. Wateja wa huduma zetu wanajali sana UBORA wa huduma. Ndiyo tunaanza, huenda mbeleni tukahitaji watu wa kada nyingine. Asante kwa kuonesha ushirikiano ndugu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.