Shilingi 340,000/- kwa watu sita ni wastani wa kila mmoja kulipia 56,667 kwa mwaka. Je, bila bima ukiugua kiasi hiki kinakutosha kugharamia matibabu yako? Tuache siasa za umaarufu. Hiyo skimu ya 30,000/- kwa 20,000/- mifuko ya hifadhi mfano nssf kwa sekta isiyo rasmi ilikuwepo ila utekelezaji...
Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Sophia Mjema, amesema Chama hicho kitahakikisha huduma Bora kwa Wananchi zinaendelea kutolewa katika Sekta ya Afya kuanzia Majengo kwenye Vituo vya Afya na Hospitali, kuboresha huduma ya mama na mtoto, Dawa pamoja na Vifaa tiba.
Katibu...
NI KUWEKEZA KWENYE UZALISHAJI PEKEE NDIO KUTATUTOA HAPA NA SERIKALI IMEJUA NA IMESHACHUKUA HATUA.
Hali ya bei za vyakula kwenye masoko mbalimbali nchini bei inaonekana kuongezeka mara mbili mpaka tatu ya bei zilizozoeleka. Hali inayoibua manung'uniko kila kona ya Nchi yetu kuanzia wenye kipato...
Na Mwandishi Wetu
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimetoa wiki moja kwa Wizara ya Elimu na TAMISEMI kuanzia leo Januari 20, 2023, kuhakikisha vishikwambi vilivyotolewa na serikali kwa ajili ya walimu vinawafikia walengwa.
CCM Imesema imepokea malalamiko ya kutotekelezwa kikamilifu kwa maelekezo ya...
Acha kulishwa matango pori nawe ukaleta humu. Pololeti sio Serengeti. Pili, hakuna ndege iliyotua popote kwenye mbuga zetu kwa huo uhuni unaoueleza, mwisho kwa ukubwa wa ndege hiyo haiwezi kutua kwenye maeneo hayo maana hakuna kiwanja cha ukubwa na vigezo vya kuipokea.
Hivi karibuni Rais wa Tanzania Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi wa juu wa vyama 19 vya siasa vyenye usajili wa kudumu nchini alitangaza rasmi kuliondoa zuio la mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa.
Ukweli ni kwamba kufanikisha au kufanya mikutano ya hadhara ya...
~Kishindo cha Shaka uzinduzi wa Kampeni Jimbo la Amani
~Asema ni CCM ndiyo yenye uwezo wa kuleta maendeleo ya nchi
~Asisitiza kazi nzuri inayofanywa na Rais Mwinyi inaonekana
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka wananchi katika Jimbo laAmani kumchagua mgombea wa wake kwa kuwa ndiye mwenye...
Huo upigaji wote umefanyika alipokuwepo...2018/2019, 2019/2022, 2020/2021 ripoti zake hizo. Masuala ya tamroada kujenga viwanja vya ndege yeye, matumizi yaliyo nje ya bajeti iliyopitishwa yeye... kuvunja mkataba wa TANESCO na symbion jpm wako. Usitake kumtupia mama zigo hayo ni mambo ya hovyo...
* Aliondoka elimu bure mwisho Form 4 sasa elimu bure hadi Form 6
* Tangu atuage, kasi ya ujenzi wa Stiegler's gorge (JNHPP), SGR, Kigongo-Busisi na miradi mingine ya kimkakati imeongezeka
* Tangu atutoke, makusanyo ya kodi yameongezeka, tena bila task force au kuzuia pesa za makampuni benki...
Na Togolani Mavura
Balozi wa Tanzania Korea Kusini.
Ni kawaida siku hizi kupokea simu, meseji ama ugeni wa ndugu, jamaa na marafiki kukuuliza na kuomba kama unaweza kusaidia kupatikana kwa ajira kwa ajili ya kijana au binti yao ama kufuatwa na kijana au binti mwenyewe. Mara nyingi utaachiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.