Ndugu, PPP haimaanishi serikali inawauza wananchi au kuacha wajibu wake. Ni ushirikiano ambapo serikali hubaki na mamlaka ya kusimamia sheria, viwango vya huduma na maslahi ya wananchi, huku sekta binafsi ikisaidia mtaji, teknolojia na uendeshaji.
Tatizo si PPP yenyewe, bali ni mikataba mibovu...
Tuma “demand letter” kwa bima Barua iwe kutoka kwa msimamizi wa mirathi au wakili, ikiambatanisha cheti cha kifo, probate/letters of administration, taarifa ya mkopo na nyaraka za bima. Dai liwe: bima itoe msimamo wa mwisho na, kama claim imekamilika, ilipe deni la benki.
Kisheria, suala hili lina pande mbili: deni la benki na madai ya bima ya mkopo. Kifo cha mkopaji hakifuti deni moja kwa moja; deni hubaki kwenye mali za marehemu/estate. Lakini kama kulikuwa na bima halali ya mkopo (credit life insurance) iliyomfunika marehemu, bima inapaswa kulipa deni kwa...
Fanya upekuzi wa ardhi (search) Ofisi ya Ardhi
Thibitisha kama kiwanja kina rehani, zuio, kesi, wadai, au kimeuzwa kwa mtu mwingine , mfano wakati mwingine unaweza Kuta kiwanja kimewekewa mkopo benki.
Hakikisha muuzaji ndiye mmiliki halali
Omba hati halisi ya umiliki/Certificate of Title au nyaraka za umiliki, kisha zihakiki Ofisi ya Ardhi. Usikubali nakala pekee. Ofisi ya Usajili wa Hati husajili hati, uhamisho wa milki na rehani.
Kila mwajiliwa anapaswa kuachishwa kazi kwa kufuata Sheria na misingi muhimu na pia lazima kuwe na sababu muhimu mpatiwe, tafuteni wakili alisimamie hilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.