Mpoto aelewe kwamba kila mwenye akili timamu aliesoma ile IGA kabla ya kelele za Watanzania ilikuwa ni ujinga mtupu.
Na serikali inapaswa kushukuru sana sauti zilizolia against IGA ile na bado tuna hitaji la kuwekewa hadharani hayo maboresho tuliyo ambiwa mh Rais kwa faida yetu na vizazi vyetu...
Kwa mfano baada ya kufutiwa hadhi hyo ya ubalozi Dr Slaa ikitokea mwananchi yeyote akaendelea kumuita BALOZI DR. SLAA kisheria mtu huyo atakuwa ametenda kosa gani?. Tuwaelimishe wananchi wasije jikuta matatani bure.
Na kwenye hyo awamu ni kitu gani kilichotokea na kuhitaji tamko la kanisa Katoliki?. Na Je dini na madhehebu mengine nje ya Katoliki unao watuhumu ktk kipindi hicho walitoa WARAKA?. Au kwako wewe WARAKA hutolewa na wakatoliki tu?.
Mh. Jk anapaswa kutambua mtu/nafsi Moja hii hii inahitajika kuhudumiwa na siasa na dini Kwa pamoja na wakati wote wa maisha ya duniani. So hakuna jinsi ambavyo binadamu kiongozi wa kisiasa/mtumishi wa umma/ majeshi/ mfanyabiashara au vyovyote vile ktk maisha yake ya duniani anaweza asihitaji...
Mbunge hana kosa lolote. KATIBA yetu ndio inasema sifa ya mgombea ubunge Tanzania ni kujua kusoma na kuandika. Sasa kama chako kikikupitisha kugombea na wananchi wakakuchagua unakuwa umetenda kisa gani?. Ni mwendo wa kutii maamuzi ya Chama bungeni. Need of KATIBA mpya kuweka standards...
Kwa hyo huo wa Kenya ushaingiwa kiasi DP WORLD atake shares?. Na kama ni ivo Kwa nn huu wa Tanzania hausemi habari ya shares/faida atakazopata Tanzania. Huu ndio mkataba mama lazima utamke mambo ya msingi kama hayo ambayo Sasa upatikanaji wake ndio utafafanuliwa ktk HIGA. Si vema kudhani Kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.