Angeiga jibu la china japo sisi ni masikini.Angesema sisi hatupangiwi kuwa na nani awe rafiki yetu pia UN waone namna nzuri ya kumaliza migogoro ya vita pasipo kuweka vikwazo ambazozinaumiza watu.
Maana ya mayala ni mtu ambaye husema kitu kwa lengo la kupata kitu fulani ili kuondoa njaa ya hicho kitu.huenda ikawa anatafuta uwaziri wa wizara ya habari.
Inawezekana muuguzi ni mzembe yaani hatimizi majukumu yake kwa ufasaha.hospitali nyingi wauguzi wanachati sana na simu zao hadi wanasahau majukumu yako
Hiyo historia ya ocean road umeitoa wap? Ocean road ilijengwa na wajerumani kwa ajili kufanya utafiti wa magonjwa ya malaria na Kifua kikuu kwa manufaa ya wajerumani na siyo kama unavyosema wewe kuwa ilikuwa bweni.Na ikulu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.