Hamna cha faida zaudi ya hasara maana taarifa unazowapa wanszitumia kutapeli watu.Usalama gani unasemea maana utekaji umetamalaki kila kona ya nchi hii.
Ni kukosa akili kabisa kwa huyo askari.yaani ubande bodaboda ya mtu umzungusha nusu saa au nusu saa mtu anachoma mafuta halafu ukatae kulipa nauli kisa hivyo vi nguo vya kishamba?halafu ukimwangalia inaonekana anamuda mrefu kazini lakini anafanya ujingaujinga.Natamani ningekuwa mimi angeilipa...
Huwa naumia sana nikiingia kwenye mfumo inaonekana imejaa lakini ukienda pale stesheni ukaomba kwa mawakala kwa bei kubwa unapata na ukipata utaona siti ziko tupu hadi unafika mwisho wa safari.Ukiwaambia viongozi wa TRC watakwambia haya mambo yaache.
KWA NAMNA AMBAVYO SA100 ANATUHARIBIA NCHI NI BORA TUANDAMANE ILI WAJERUMANI WAJE WATUTAWALE KULIKO MALIASILI ZETU KULIWA NA GENGE LA WAHUNI WA HUYO NILIYEMTAJA
NDiyo maana nikasema kwa Tanzania nzima kwa ujumla mipango miji ni sifuri.Halafu haya siyo majungu bali nimesema ukweli kuwa kahama pananuka na hapafai kwa makazi labda kwa kuchuma tu mali za migodini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.