Recent content by Afcon kinanuka

  1. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwenu wazazi wenye watoto wa kike

    Dawa ya wazazi wa namna hiyo ni kumpa mimba binti yao kabla ya mahali na baadae unajichukulia bure.
  2. A

    JamiiForums Tanzania Shida ya kuwa mpole maofisini Utapendwa na kila mtu lakini michongo yote inakukwepa

    Ndiyo maana serikali imejaa wezi.
  3. A

    JamiiForums Tanzania Kususia uchaguzi ni miongoni mwa political blunders zinazowatesa sana wafuata mkumbo physically and mentally kwasasa

    Ni aibu sana kuwa na mwanaume mzima na ndevu zake na familia kuwa chawa wa watawala kama mleta mada
  4. A

    JamiiForums Tanzania Mke siyo ndugu yako!

    Baadhi ya wanawake ni washenzi sana hasa hawa ambao baba na mama zao wamezaliwa kinondoni,temeke na ubungo
  5. A

    JamiiForums Tanzania Wapinzani wa Afrika na siasa za majitaka kunavyowafelisha

    Kweli wewe ni mkangafu(kitu kulichojichokea)
  6. A

    JamiiForums Tanzania Tusema wewe ndiye Rais Samia, ungejibuje swali hili?

    Angeiga jibu la china japo sisi ni masikini.Angesema sisi hatupangiwi kuwa na nani awe rafiki yetu pia UN waone namna nzuri ya kumaliza migogoro ya vita pasipo kuweka vikwazo ambazozinaumiza watu.
  7. A

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Pascal Mayalla: Oktoba 29 vyombo vya dola vilikuwa havina namna, risasi za moto zilitumika kutuliza zile vurugu

    Maana ya mayala ni mtu ambaye husema kitu kwa lengo la kupata kitu fulani ili kuondoa njaa ya hicho kitu.huenda ikawa anatafuta uwaziri wa wizara ya habari.
  8. A

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Waandishi wa Habari wa Urusi walinisalimia “Mama Samia Shikamoo”, jambo linaloonesha kuenea kwa Kiswahili

    Walikuongelesha kiswahili kwa sababu walijua kabisa wakikuongelesha kiingeleza hautaelewa.
  9. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Daktari amempiga hadi kuzirai Muuguzi mwenzetu, hakuna hatua zilizochukuliwa. Waziri wa Afya, TAMISEMI tunaomba msaada

    Siyo kila kitu unapeleka mahakamani.mahakama zenyewe hazitendi haki
  10. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Daktari amempiga hadi kuzirai Muuguzi mwenzetu, hakuna hatua zilizochukuliwa. Waziri wa Afya, TAMISEMI tunaomba msaada

    Inawezekana muuguzi ni mzembe yaani hatimizi majukumu yake kwa ufasaha.hospitali nyingi wauguzi wanachati sana na simu zao hadi wanasahau majukumu yako
  11. A

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo sababu ya pengo la maendeleo kati ya Wakristo na Waislamu kwetu Watanzania wa asili

    Hiyo historia ya ocean road umeitoa wap? Ocean road ilijengwa na wajerumani kwa ajili kufanya utafiti wa magonjwa ya malaria na Kifua kikuu kwa manufaa ya wajerumani na siyo kama unavyosema wewe kuwa ilikuwa bweni.Na ikulu.
  12. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Bandari wanazuia mizigo ya watu kama bidhaa ulizoleta zinafanana na za tajiri fulani

    Tuko kwenye soko huria na siyo soko la mtu mmoja.
  13. A

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    Tatizo lugha.muda mwingine anaamua kujibu majibu mafupi sababu lugha ambayo siyo yako
  14. A

    JamiiForums Tanzania Vîdeo: Msafara Wa Rais Samia Watikisa na kuiteka St Petersburg Urussi. Ulinzi wake Ni Balaa,Magari Yatembea Katika Mpangilio Ambao Haujawahi kuonekana

    Magari saba tu lakini akifika tanganyika anatumia magari zaidi ya miamoja(100)
Back
Top Bottom