Recent content by Afcon kinanuka

  1. A

    JamiiForums Tanzania Ni kozi gani ukimuona mtu anasoma chuo unabaki unasikitika?

    KIla kozi inaumuhimu.
  2. A

    JamiiForums Tanzania Hili daftari ya wakazi huko ulipo lipo au ni kwetu tu

    Hamna cha faida zaudi ya hasara maana taarifa unazowapa wanszitumia kutapeli watu.Usalama gani unasemea maana utekaji umetamalaki kila kona ya nchi hii.
  3. A

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Wazanzibar wote tulishikana katika Uchaguzi, ndio maana ikapandisha ushindi hadi 97%

    Anazidi kutukera watanganyika mwishowe tutamtukana matusi makubwa ya kumvunjia heshima aanze kututumia wasiojulikana.
  4. A

    JamiiForums Tanzania Warioba Joseph Butiku amelazwa ICU. Ni rafiki wa Polepole

    Sa100 anatumalizia watanganyika wetu.polepole kamdedisha,rachael dangwa kamdedisha,soka na wengine.Tuukatae huu udicteta
  5. A

    JamiiForums Tanzania Polisi adaiwa kumkodi Bodaboda na kukataa kumlipa baada ya kumzungusha kwa saa 1

    Ni kukosa akili kabisa kwa huyo askari.yaani ubande bodaboda ya mtu umzungusha nusu saa au nusu saa mtu anachoma mafuta halafu ukatae kulipa nauli kisa hivyo vi nguo vya kishamba?halafu ukimwangalia inaonekana anamuda mrefu kazini lakini anafanya ujingaujinga.Natamani ningekuwa mimi angeilipa...
  6. A

    JamiiForums Tanzania Tuweke ushabiki pembeni kati ya tamasha la Simba na Yanga lipi limekuwa tamasha bora kwako?

    Yanga wamecheza vizuri pamoja na kuwa walifungwa lakini wale paka japo wao wanajiita simba hakuna kitu kabisa.
  7. A

    JamiiForums Tanzania SGR Ina shida mahali, unapofanya booking unakuta karibia siti zote zimejaa ila unapokuja kuingia ndani ya behewa unakuta nusu ya siti hakuna watu?

    Huwa naumia sana nikiingia kwenye mfumo inaonekana imejaa lakini ukienda pale stesheni ukaomba kwa mawakala kwa bei kubwa unapata na ukipata utaona siti ziko tupu hadi unafika mwisho wa safari.Ukiwaambia viongozi wa TRC watakwambia haya mambo yaache.
  8. A

    JamiiForums Tanzania Pombe ilikufanya kitu gani mpaka ukasema sasa rasmi naacha?

    Niliwahi kuomba mzigo kwa mama mkwe.uzuri wa mama mkwe wa mjini hawana aibu
  9. A

    JamiiForums Tanzania Kuna muda unatamani wakoloni weupe wangeendelea kubaki, hebu angalia mpango huu mkubwa wa reli wa kuiunganisha Tanganyika uliovurugwa na vita ya dunia

    KWA NAMNA AMBAVYO SA100 ANATUHARIBIA NCHI NI BORA TUANDAMANE ILI WAJERUMANI WAJE WATUTAWALE KULIKO MALIASILI ZETU KULIWA NA GENGE LA WAHUNI WA HUYO NILIYEMTAJA
  10. A

    JamiiForums Tanzania KAHAMA NI MJI WA HOVYO SANA.

    NDiyo maana nikasema kwa Tanzania nzima kwa ujumla mipango miji ni sifuri.Halafu haya siyo majungu bali nimesema ukweli kuwa kahama pananuka na hapafai kwa makazi labda kwa kuchuma tu mali za migodini.
  11. A

    JamiiForums Tanzania KAHAMA NI MJI WA HOVYO SANA.

    Siku hizi ni utandawazi.yeye aingie tu google mipango miji ya china,malyasia,ufaransa au usa
  12. A

    JamiiForums Tanzania KAHAMA NI MJI WA HOVYO SANA.

    Hakika kabisa.
  13. A

    JamiiForums Tanzania KAHAMA NI MJI WA HOVYO SANA.

    Sijaona cha maana hapo cha kusifia.vijengo vimerundikwa kama uyoga(hakuna mpangilio)
  14. A

    JamiiForums Tanzania KAHAMA NI MJI WA HOVYO SANA.

    KWa hiyo kwa kuwa Dar pananuka unaona ni sawa kahama kunuka?
Back
Top Bottom