Recent content by Afcon kinanuka

  1. A

    Rais Samia kutunukiwa Shahada ya Heshima na Chuo Kikuu cha NASARAWA cha Nigeria, leo Aprili 11, 2026

    Shahada za vyupi.anapewa baada ya kugawa vyupi kwa wanaijeria
  2. A

    Hakuna mwenye uwezo wa kuandamana nchi hii baada ya show ya October 29 Heche Acha Utapeli

    Maandamano yapo palepale siku ya ufunguzi wa afcon.waajemi(iran)wametupa ujasiri mkubwa wa kupigania haki baada ya kumpiga mmarekani ambaye hujifanya mbabe siku zote.Na Sisi watanganyika tutamshughulikia kikamilifu huyu ccm anayejifanya mbabe hiyo siku ya ufunguzi wa afcon
  3. A

    Mbunge Sumbawanga Mjini, Kuliko kujenga Muhimbili mpya kwa Tsh. 1.2 Trilioni bora tujenge hospitali mikoani kuipunguzia mzigo hospital hiyo

    Wazo la mbunge liko sahihi changamoto hoja yake itatupiliwa mbali sababu tuna rais wa hovyo mwenye maono ya kijinga
  4. A

    Tanzania haijawahi kupata rais kama Samia

    Rais wa hovyo sana.leo nimepita mbezi msakuzi wilaya ya ubungo,nikaona Barabara yote ni mashimo tu hadi nikamkumbuka magufuli.Uchawa uliokithili wa kiwendawazimu umetuletea rais bogus
  5. A

    Amri ya Rais Samia ya Kubana Matumizi ya Mafuta na kupunguza Msafara Wake Imeteka Media za Africa. Samia Amekuwa Mwalimu wa Viongozi wa Afrika

    Leo msafara wake nimehesabu magari yakafika miambili na tano hadi nikachoka kumaliza kuyahesabu yote.
  6. A

    Inakuaje vijana Wamarekani hawana hamasa na kazi za jeshi Marekani?

    Hawapendi kwa sababu marekani inashiriki sana kwenye vita ndiyo maana wanaogopa kujiunga tofauti na Tanzania hakuna vita japo Afcon ikianza tunakiwasha ili hawa wanajeshi wetu goigoi tuwachangamshe
  7. A

    Netanyahu asema Israel ipo tayari kwa vita muda wowote dhidi ya Iran

    General Mgunda amrisha makomando wako wa kupasua matofali wakammalize Netanyahu ili vita ya mashariki ya kati iishe maramoja.
  8. A

    Yusuph Lupilia: Mafuta yamepanda tukiwa na stock ya miezi mitatu nchini, hapo tumepigwa

    Tattoo tuna rais Malaya ndiyo maana yanajitokeza mambo ya kimalayamalaya tj
  9. A

    Usimpuuze mkeo

    Umeandika upuuzi mtupu.ndoa ni kuheshimiana na kupendana wote na siyo kuwa mmoja kuwa mtumwa wa kumpenda mwingine.
  10. A

    Ni kweli Traffic wametumwa Faini 5 kila siku kutoka kwenye daladala ?

    Kwa Tanzania kazi ya polisi ni ya laana na dhambi
  11. A

    Serikali yafafanua kauli ya Rais Samia kuhusu Bei za Mafuta

    HII Inaonesha serikali yetu yamejaa mambumbumbu yasiyojitambua.Yaani mtu na akili zake anasema marekani tumewazidi?
  12. A

    Mwambieni Msigwa, soko la dunia hawauzi dizeli wala petroli! Na hayapimwi kwa kilo!

    Watu walioko serikalini wamejazana ujinga kuwa wanajua kilakitu kuliko sister wananchi wote.
Back
Top Bottom