Maandamano yapo palepale siku ya ufunguzi wa afcon.waajemi(iran)wametupa ujasiri mkubwa wa kupigania haki baada ya kumpiga mmarekani ambaye hujifanya mbabe siku zote.Na Sisi watanganyika tutamshughulikia kikamilifu huyu ccm anayejifanya mbabe hiyo siku ya ufunguzi wa afcon
Rais wa hovyo sana.leo nimepita mbezi msakuzi wilaya ya ubungo,nikaona Barabara yote ni mashimo tu hadi nikamkumbuka magufuli.Uchawa uliokithili wa kiwendawazimu umetuletea rais bogus
Hawapendi kwa sababu marekani inashiriki sana kwenye vita ndiyo maana wanaogopa kujiunga tofauti na Tanzania hakuna vita japo Afcon ikianza tunakiwasha ili hawa wanajeshi wetu goigoi tuwachangamshe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.