Recent content by Afande Nyati

  1. Afande Nyati

    Mbunge CHADEMA atishiwa maisha, kisa fomu dhidi ya Mbowe

    Wachungaji wa sasa sio watu wa kuwaamini sana. Bora angesema mwanasiasa wa CCM kuliko mchungaji.
  2. Afande Nyati

    Nilidanganywa kusoma PGM nitakuwa rubani, leo hii mpishi kwa Mhindi

    nimependa jina lako..... namalizia "In causa sua"
  3. Afande Nyati

    Rais Magufuli akerwa na Bilioni 1 kutengeneza Mitaro Igunga

    Kuna muda bora kutulia tu kutizama mwisho wa mambo.
  4. Afande Nyati

    Memorandum of understanding and articles of association

    Weka link ya huo uzi wa MOU mkuu tuupitie na sisi.
  5. Afande Nyati

    CCM ya sasa inatuaibisha sana, bora kujiweka pembeni!

    Kosa kubwa walilofanya CCM mpya ni kuwaondoa strategist's wake wote kwa kuamini ni tishio kwa mkuu wa chama, badala yake kuamini walamba miguu ambao wengi ni mapoyoyo. Sasa wanakosa watu makini wa kutumia akili badala yake wana watumia mabavu bila kufikili athari.
  6. Afande Nyati

    Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

    Kweli kuna watu na viatu, wewe Habibu ni mtu.
  7. Afande Nyati

    Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

    Mkuu the Bold mchana umepita tena.
  8. Afande Nyati

    Ndoto: Sehemu muhimu kwa afya ya hifadhi ya akili

    Mshana nilishawahi kuota nimepewa kisu nimchome bi mkubwa nikatupa nikakimbia hii inakaaje. Alafu mara nyingi huwa naota nagegeda japo simalizi nashtuka, hii nayo inahusu masuala ya kiroho au ni kawaida tu?? Na mtu akiota ota sana kuona nyoka ndotoni inakuwaje.
  9. Afande Nyati

    Kila mtu anapambana na mtu wake ilimradi kiki na kujipambanua

    Umesahau DAB dhidi ya Piere Emerick Aubemyang. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Afande Nyati

    Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo amshukuru Pierre Liquid kwa kuhudhuria na kuhamasisha TOKOMEZA ZERO KISARAWE

    Leo kwa kiwa j2 tutabaki kiwa na piere, kuanzia kesho tutarudi kwa CAG na Air Hostages. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Afande Nyati

    Madhara ya kutokujua historia yako

    Tuanzie kwa viongozi wetu wa nchi wanaohubiri uzalendo, amani na mshikamano huku wao wakiwa wabinafsi, wezi na wasio na utu. Mmoja aliwahi kusema hakuleta tetemeko kisa tu hataka kusaidia ila upande wa 2 akatoa msaada. Unaweza kuona hii roho ya ubinafsi inaanzia wapi. Laiti kama hawa...
  12. Afande Nyati

    Muda wa kukata roho marehemu hupatwa na mambo haya

    Mbona hawajaita sleeping, wameita death. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom