Recent content by Aegon Targaryen

  1. Aegon Targaryen

    Humphrey Polepole na Janet Masaburi wanavyoizika rasmi CCM Segerea

    Hiyo inajulikana wazi tangu wakati wa kura za maoni. Waache wasahau roho ya jimbo iliyobaki ni mbunge wao walipoteze kama ilivyokuwa Arusha mjini 2010
  2. Aegon Targaryen

    AJALI: Lori lapinduka mto wami na kusababisha foleni ya mabasi

    Sielewi kwa nini hawajengi daraja pana linaloruhusu magari kupishana pale darajani
  3. Aegon Targaryen

    Wa kuogopwa Clouds sio Ruge au Kusaga

    Ana asili ya somalia jina lake ni Fauzia Abdi Kurane
  4. Aegon Targaryen

    Humphrey Polepole na Janet Masaburi wanavyoizika rasmi CCM Segerea

    Huyo Mama Saburi hadi UWT wenzake hawampendi kwa fitna zake sema najua siku zake zinahesabika maana inajulikana wazi Magu ana beef na hiyo familia kutokana na historia yao ya upigaji
  5. Aegon Targaryen

    Wa kuogopwa Clouds sio Ruge au Kusaga

    Mnakimbilia kutumia neno chuki au "hater" kila kitu kikiongelewa kwa angle msiyoipenda hapa bongo. Nani asiejua kuwa idea ya fursa ilikuwa ya mtu mwingine clouds wakaichukua?
  6. Aegon Targaryen

    Wa kuogopwa Clouds sio Ruge au Kusaga

    Bashite anatengua maamuzi ya IGP na RPC mara kibao hapa mnatokwa povu unashangaa kwenye kampuni binafsi?
  7. Aegon Targaryen

    Wa kuogopwa Clouds sio Ruge au Kusaga

    Watu wengi wakisikia Clouds ina beef na msanii au mtu yeyote akili zao moja kwa moja zinawatuma kwa Ruge na Kusaga. Ukweli ni kwamba anaefanya kila kitu kinachohusu utendaji ndani ya Clouds Media Group ni mwanadada Fauzia. Huyu ndiye mastermind wa kila kitu kinachofanyika mjengoni kuanzia...
  8. Aegon Targaryen

    Serikali imeandaa mapendekezo ya kuunganisha mifuko mitano ya hifadhi ya jamii, kuja na fao la wasio na ajira

    Wakati huo PSPF na PPF wametangaza nafasi za ajira ikimaanisha kuna watu kibao watarudi mtaani siku hii mifuko ikiunganishwa na kuwa na mfuko mmoja
  9. Aegon Targaryen

    Meli kubwa ya kijeshi kuwahi kutengenezwa kwa ajili ya jeshi la Uingereza.

    Meli kubwa ya kivita inayojulikana kama HMS Queen Elizabeth imeanza majaribio baada ya kujengwa kwa kiasi cha Paundi za Uingereza Bilioni 3 na kuwa meli kubwa ya kivita kuwahi kuwepo nchini Uingereza. Meli kubwa ya kivita kuliko zote nchini Uingereza ndiyo hii. Meli...
  10. Aegon Targaryen

    TCRA: Kwanini watanzania wana support matusi ya mitandaoni kwa Mh. Rais Dr John Magufuli?

    Kwa taarifa yako kuna watu wanakamatwa kimya kimya, kuna kesi kibao za makosa ya kimtandao zinaendelea.
  11. Aegon Targaryen

    Kula ugali usiku nacho ni kipimo cha umaskini

    Haya mawazo ya kitumwa huna tofauti na anaefananisha tabia nzuri na uzungu na tabia mbovu kuzipachika jina la "uswahili".
  12. Aegon Targaryen

    Tabata Kimanga tumemkosea nini mbunge?

    Mbunge ni wa watu wote bila kujali vyama. Mbona Mdee haachi kwenda msasani na oysterbay wakati kata zilichukuliwa na CCM
  13. Aegon Targaryen

    Tabata Kimanga tumemkosea nini mbunge?

    Bonnah Kaluwa ni wa CCM
Back
Top Bottom