Sasa unafikiri ni kosa la serikali au kosa la wazazi wetu ndo wanatuimiza tusome tuwe na kazi nzuri na sio kujiajiri na kuajiri wengine nenda usome kitabu cha RICH DADDY POOR DADDY tukomboe vizazi vyetu mkuu
Kuna tetesi uwenda ni SRABAG GMBH wakapewa hiyo tender sio muda mrefu ndo maana mkandarasi alipomaliza kipande cha kwnz Ushirombo - Lusaunga bado hajatoa vifaa vyake ata asphalt plant hawajafungua so nafkir ipo kweny mchakato
Kama kuna kitu kimewahinisumbua utotoni basi ni kifo cha baba wa taifa (Nyerere). Maana ilikuwa kila mtu namuuliza ni nani huyo mpk watu wanalia na kila mtu anaenda uwanja wa taifa, ilinichukuwa muda sana kuelewa kuhusu nyerere kwa kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.