Recent content by adsense master

  1. adsense master

    JamiiForums Tanzania Abiria wa Uber/bolt, wanaolipia kwa njia ya credit card, ile hela inayoingia kwa account yako unaitoa vipi?

    habari wapendwa katika bwana,wale bolt/tax driver naomba kujua jambo moja hivi kuna wale abiria wanaolipia kwa njia ya credit card baada ya safari ile hela inayoingia kwa account yako unaitoa vipi na baada ya muda gani?
  2. adsense master

    JamiiForums Tanzania Abiria wa Uber/bolt, wanaolipia kwa njia ya credit card, ile hela inayoingia kwa account yako unaitoa vipi?

    habari wapendwa katika bwana,wale bolt/tax driver naomba kujua jambo moja hivi kuna wale abiria wanaolipia kwa njia ya credit card baada ya safari ile hela inayoingia kwa account yako unaitoa vipi na baada ya muda gani?
  3. adsense master

    JamiiForums Tanzania Njoo uifahamu Taxi Mtandao BOLT/UBER

    naomba kuuliza kujiunga lazma uend ofisini kwao au unaweza maliza mtandaoni? pia umesema unaweza tumia plate no ya njano utapata vipi kibali cha latra ambachontax mtandao watahitaji? mwisho kwa mkoani naweza ifanya? hukusu wateja mm nitawapata wengi tu
  4. adsense master

    JamiiForums Tanzania Napagawa na Bati: ALAF, ANDO, DRAGON - uchaguzi mgumu. Watu wa mauzo saundi kibao!

    ALAF ni kiboko yao mwaka wa 3 huu kama nmeweka jana ,wengine znapauka sana
  5. adsense master

    JamiiForums Tanzania FT: Mlandege 1 - 0 Simba SC | Mapinduzi Cup | New Amaan Complex | Fainali | 13.01.2024. Kombe limebaki Mlandege

    nawekea simba kushinda 1,000,000 nipate 1,450,000
  6. adsense master

    JamiiForums Tanzania Mwenye uhitaji wa kozi yoyote udemy

    kama kuna mtu anahitaji course udemy kwa gahrama nafuu tofaut na ile iliyoandika nione ,pia kama umeweka course zako udemy nione tufanye baishara
  7. adsense master

    JamiiForums Tanzania Hakuna biashara inafilisi kama uchimbaji wa madini

    madini ni kama forex unaweza lala maskin ukaamka tajiri na kulala tajir ukaaamka maskini
  8. adsense master

    JamiiForums Tanzania Hatimaye nimekata tamaa ya kujifunza Hacking. Ninachoki-experience sio nilichokidhania

    umepoteza sana muda ,ingia darkweb tafuta carding unaunua card zerny mpunga kwa bei rahisi unafanya mambo yako
  9. adsense master

    JamiiForums Tanzania Wale wawekezaji wa MTFE wapigwa na kitu kizito hela hazitoki

    bado hamjasemaa na mtasemaaaa
  10. adsense master

    JamiiForums Tanzania MFTE ni Ponzi scheme, utapeli ulijificha kwenye kichaka cha forex trading

    mdeal na watu waliowashawish
  11. adsense master

    JamiiForums Tanzania MFTE ni Ponzi scheme, utapeli ulijificha kwenye kichaka cha forex trading

    [emoji23][emoji23][emoji3]wakome maana walikuwa na mabichwa magumu
  12. adsense master

    JamiiForums Tanzania Wale wawekezaji wa MTFE wapigwa na kitu kizito hela hazitoki

    wabongo bado giza kichwani ,soon na mm nakuja na yangu nshanunua script tayar wakisahau tu kuhus MTFE nawatupia yangu lazma wajaee
  13. adsense master

    JamiiForums Tanzania Huu upatu wa MTFE ni fursa kweli au mimi ndio naenda kugeuzwa fursa?

    na mm nafungua yangu soon nshanunua script ,bado mmelala
Back
Top Bottom