Recent content by Adrianinho

  1. A

    Nilipigwa na kufukuzwa Msibani

    Ku Kumbe na wewe umeona nilifikiri nimekosea kusoma
  2. A

    Ukweli uliofichwa sasa umefunuliwa, ni kuhusu T. B Joshua

    Hata rais wa mioyo ya watu kahudhuria sana huko.
  3. A

    Libya ya Gadaffi vs Libya ya Wamarekani

    Kwa hiyo sasa hivi watu hawafi.
  4. A

    Roma: Nimekimbilia Marekani sababu ya wimbo wangu naogopa

    Ngoja akutane na shemale na yeye achezee rungu.
  5. A

    Serikali ipitishe sheria hijab na kanzu yawe mavazi ya utambulisho wa taifa

    Hivi wewe mtoa post na wenzako mtavumilia kweli mpite karibu na baa inayouza kitimoto halafu mkamuona msela kagonga kanzu katulia na demu wake kagonga juba tena kuongeza ninja wanagonga kitimoto na kinywaji. Mtavumilia kweli nyie!?!?
  6. A

    Maamuzi ya Mahakama kuhusu umri wa msichana kuolewa utachangia kuongezeka kwa uzinifu na maasia

    Hivi unapata raha gani ukimuooa binti wa miaka 14 au 15. Au wewe mtoa post ukiwa na binti wa umri huo utakukubali aolewe na mwanaume mwenye zaidi ya miaka 40 kisa tu dini imesema ni sawa!?!?
  7. A

    Rais Magufuli, ni wakati muafaka "Ikulu" irudishwe kwa wenyewe, Waislam

    Waliotuletea hizi dini walituweza kweli waislam weusi wanajiona wao ni warabu na wakristo weusi wanajiona wao ni wazungu. Huu utumwa wa fikra sijui utaisha lini.
  8. A

    Abiria wanusurika kifo baada ya kulishwa biskuti zenye dawa za kulevya

    Mpe pole mkuu mwambie hata kiongozi mkuu wa nchi ambaye ni muajiri wake kila siku anasema hakuna kitu cha bure na ukiona mtu anakupa kitu cha bure jiulize Mara mbili mbili anataka nini kwako.
  9. A

    Abiria wanusurika kifo baada ya kulishwa biskuti zenye dawa za kulevya

    Cha kusikitisha walioingizwa kwenye mtego huo ni maafisa wa serikali. Hii inaonesha ni jinsi gani watumishi wa serikali wanavopenda kula vitu vya bure.
  10. A

    Serikali pigeni marufuku pombe nchini

    Aliekudanganya unywaji pombe unachelewesha maendeleo nani. Halafu wakizuia hilo gap la kodi inayokusanywa kupitia uuzaji wa pombe utaliziba wewe.
  11. A

    Nilidanganywa kusoma PGM nitakuwa rubani, leo hii mpishi kwa Mhindi

    Usijari mkuu kumbuka Mungu anakupa unachostahili hakupi unachotaka.
  12. A

    Mhadhiri NIT akiri kumuomba rushwa ya ngono Mwanafunzi wake

    Mkabidhi Mkabidhi hela sio mwanamke.
  13. A

    Nimeota ninakunywa bia, ila mimi sinywi bia. Nini maana yake?

    Ndoto nazo zinadanganya kweli hivi unaotaje kwamba bia ina ladha mbaya!?!?
  14. A

    Kwanini kumiliki gari kunashawishi sana ulevi na umalaya?

    Kweli mkuu kwenye daladala kuna fursa kubwa sana ya kutongoza ukikaa siti moja na mtoto mkali unachofanya ni kupitiliza kituo tu. Hata kama ulikua unashuka Mapipa yeye anashuka mbezi mwisho unakomaa nae lazima kitaeleweka. Gharama kubwa unayotumia kwenye daladala ni kupoteza muda tu.
Back
Top Bottom