Recent content by adrenaline

  1. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Unaita mashahidi ambao unajua fika watakukandamiza. amakweli Lisu kachanganyikiwa.

    Shida ipo wapi?Mwache achanganyikiwe
  2. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Kusema Majaji ni maCCM ndiyo kauli mbaya kuliko zote kwenye kesi ya Mh. Lissu

    Mihimili ipo mitatu 1.Serikali,huchaguliwa na Wananchi(kuna pahala wanajichangua wenyewe kwa mabavu) 2.Bunge,huchaguliwa na wananchi(Kuna pahala wanaibiwa kura na Serikali na kupangwa na serikali) 3.Mahakama,hawa wanachaguliwa na Serikali na kufuata maamuzi ya serikali si tena chombo huru kwa...
  3. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda aendelea kutoa ushahidi

    Tusome tusome😀😀😀
  4. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda aendelea kutoa ushahidi

    Dada kawakubali then Wakili kapotea na hoja zake😀😀
  5. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda aendelea kutoa ushahidi

    Uone sasa tuliowasomesha kwa kodi zetu na zao😀😀😀
  6. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda aendelea kutoa ushahidi

    Nimeona Diamond..Mboso😀😀😀
  7. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Hii ya leo kali sana sana

    Daah bro kawekwa chini kabisaa level ya kujiabisha hii kabisa..si kibingwa tu kazi inaisha
  8. adrenaline

    JamiiForums Tanzania NECTA: Watahiniwa 1,168,649 kufanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi 2026

    Wachache sana hatuzaliani ee
  9. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Mkeo simpati, nataka kuja kuwasalimia watoto wangu. Tafadhari mwambie awalete kesho saa 3 asubuhi Matayo Hoteli

    Unajibu hiyo Sms ya nini😀relax kula Maisha
  10. adrenaline

    JamiiForums Tanzania KERO Video: Je, ingekuwa wewe ndo abiria wa hili basi ungechukua uamuzi gani?

    Weka na ubovu wa barabara ndio ukichaa pro max unakuja. Watu wanakamiana kuwa Dar natumia masaa sita na experience ya kuendesha kwenye mazingira mabaya hatuna.
  11. adrenaline

    JamiiForums Tanzania KERO Video: Je, ingekuwa wewe ndo abiria wa hili basi ungechukua uamuzi gani?

    Mzee huku barabarani vichaa wengi sana
  12. adrenaline

    JamiiForums Tanzania KERO Video: Je, ingekuwa wewe ndo abiria wa hili basi ungechukua uamuzi gani?

    Tena Basi kubwa kama hilo watu 55 plus. Mie gari dogo tu nikiweka simu na kutoa taarifa kuwa niko safarini. Utaona simu yangu nikisimama huku kununua vitu au kuchimba dawa nje na hapo..kimewahi nilamba... Chombo chochote cha moto hakina mwenyewe ukilijua hilo adabu lazima iwepo. Hiyo barabara...
  13. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Uliwezaje au una-deal vipi na mchumba au mwanamke anayeamini katika dawa za kienyeji kama ulinzi (kinga dhidi ya wachawi)?

    Utajiri hauji kizembe zembe kwenye hii Dunia..Illegal +legal kwenye mambo yaliyo nje na upeo wa watu wengi.
  14. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Uliwezaje au una-deal vipi na mchumba au mwanamke anayeamini katika dawa za kienyeji kama ulinzi (kinga dhidi ya wachawi)?

    Alinipa dawa akaniambia nikasimame pahala flan mji niuone..then niseme maneno kuwa nionekane😀😀😀 Mkuu nikafanya kwa kujiamini mbaaya..huku nafanya kazi za watu..sijakaa sawa kweli ule mji watu wakaanza kuniona😀😀😀unapuliza tu unatia maneno yako. Kupuliza tu nilipuliza kazi zile kwenye ule mji...
  15. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Mnyika amjibu Mrema: Ungetaka walipwe wote, ukirudi ofisini mshauri Boss wako mwanasheria Mkuu wa Serikali alipe pesa zetu zaidi ya Milioni 400

    Naelewa sasa kwanini watu fulani watoto hawasomi hapa Tanzania..wacha nijichange
Back
Top Bottom