Recent content by adrenaline

  1. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Eti kwakuwa Chadema waliamua wao kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025 wanalazimisha kila kitu kuwa ni haramu kwao

    Ubaya wa hizi mambo ni muda unavyoenda ....LAZIMA visingizio viwe vingi. Waliofiwa na waliaji ni JAMII MBILI HAZIJUANI.
  2. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Matukio na Masimulizi ya Wazee wa Mwaka 47

    Mkuu hapana..hunting bussiness..kuna mtu kati yao nitakaa kikao naye akiwa na familia kama kwenye Sicarion:the day of Soldado
  3. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Mafuta, mafuta, mafuta; Wiki ijayo EWURA wanakuja na bei mpya

    Mkuu upo sahihi kabisa. Ni majuzi nilikuwa na route ya 2000kms to and fro.Japo ilikuwa ni kazi ila faida si ile tena. Then watu wanaotaka huduma wameganda akili zao hawaelewi. Hata kama uko na pesa bila limit faida inakata mno..
  4. adrenaline

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume kama sio lazima usimfanyie hiki kitu Mke wako

    Ukiona hivyo kulinda bran hupigii ndani..unacheza mbali..hawa beki tatu waliomaliza form 4..six..wamoto..
  5. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Mafuta, mafuta, mafuta; Wiki ijayo EWURA wanakuja na bei mpya

    Tako la nyani mwana nakuelewa kuna SJG Jana jamaa anasema eti najaza mafuta ya 50,000/= kapata lita 12..nikamuuliza unaenda nazo wapi hizo lita😀😀😀😀 Wewe weka park gari tafuta usafiri nenda unakoenda😀😀
  6. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Mafuta, mafuta, mafuta; Wiki ijayo EWURA wanakuja na bei mpya

    Nimetoka zangu Mbinga naeleka Dar kufika pale Makambako..kaja mtu anasema anaelekea Dar..ana 30k😀😀😀 Oya Mzee subiri bus zipo nyingi sana hapo. Jamaa alicheka sana..safari ilikuwa nzuri sana...Mungu atusaidie wapambanaji wa road.. Kweli kuna sehemu nimelipa 75,000/= kwenda tu..😀😀😀 Mafuta nilikuwa...
  7. adrenaline

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume kama sio lazima usimfanyie hiki kitu Mke wako

    Wako na masharti hadi unaona kero kupiga mzigo😀😀😀😀😀
  8. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Mboga za makaburini

    Maarifa..maarifa... 1.Nimekuta familia inafuga toka 90s Wajukuu wakienda kwa Babu na Bibi wanakimbiza kuku kama hawana akili nzuri😀😀😀 2.Kuna sibl wangu anafuga Mifugo ya nyama kubwa kubwa...huko utachoma nyama mpaka ukimbie hasa Mbuzi(Karagwe huko) 3.Kuna moja yeye bingwa na Kanga...
  9. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Mboga za makaburini

    Mambo ni mepesi sana😀😀
  10. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Mboga za makaburini

    Kwenye mboga na nyama za kuku nimesahahu kabisa..hapo kwenye gesi Mkuu ..tuwe hai nitakutafuta muda ukifika. Ukiwa na mji kuishi kwa ugumu ni kupenda na kutokukubali maarifa. Tulifuga kuku wa kwetu aisee kuku ana taste moja murua sana😀😀😀
  11. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Mboga za makaburini

    Tulipanga pahala for 2 years hatukujua kununua mboga mboga,nyanya,vitunguu..mwendo wa kubadili tu😀😀😀
  12. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Matukio na Masimulizi ya Wazee wa Mwaka 47

    Toka 2023..wahusika hawashiki simu plus wako na majibu makali sana. Bahati nzuri umri wao unasogea tofauti na wa kwangu. Plan nilizo nazo wameanza kuziona mmoja kati yao ameshtuka.It's to late..
  13. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Matukio na Masimulizi ya Wazee wa Mwaka 47

    Kisasi baada ya kudhulumiwa ndio nimeshika.
  14. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Familia ya Bernard Membe wavaana wakigombea mali. Iwe funzo kwa mafisadi wote

    Kachero mji wa nini
  15. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Wachina wanne wakamatwa kwa tuhuma za Utekaji

    Ila.......
Back
Top Bottom