Recent content by adrenaline

  1. adrenaline

    Tabora: Baba adaiwa kuchinja mtoto mchanga akidai si wake

    Huanza kama utani..haamki mtu kuua tu.Tunajitengeneza humo ndani wenyewe
  2. adrenaline

    Tabora: Baba adaiwa kuchinja mtoto mchanga akidai si wake

    Dunia ukijichanganya tu matokeo ni hayo..muda hakuna..kauli kauli chafu chafu
  3. adrenaline

    Tabora: Baba adaiwa kuchinja mtoto mchanga akidai si wake

    Kauli huzaa matokeo. Kuna jirani wakigombana utasikia..una uwezo wa kuzalisha wewe? Hakuna vichaa tunatengeneza vichaa kwa dharau na matendo yetu yasiyojipima.
  4. adrenaline

    Mwigulu: Tunatumia vibaya mitandao. Kuna watu mitandaoni wakiandika utadhani Mungu kaandika

    Wawe pia na stahaaa...hakuna mtu anatumia mtandao vibaya Huwa wana majibu ya kunya kunya mna..ndio maana watu wanakuwa Mungu huku mtandaoni..
  5. adrenaline

    Ni Tukio Gani Ulifanya/ Mlifanya Shule Huwezi Sahau?

    Nilikonyeza mwalimu wa English nikiwa darasa la sita. Nilipigwa kama mbwaaa😀😀😀
  6. adrenaline

    Kwanini 'Wajinga' wanatoboa kimaisha haraka kuliko sisi 'Great Thinkers’?

    Hakuna mtu wa kawaida hapa Dunia. Kila mtu anajaza puzzle yake ya maisha. Mtaa unataka watu wenye akili za kuuelewa mtaa
  7. adrenaline

    Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

    Vitu havitokei kwa bahati mbaya..uzuri shobo ni za kwao..wapambane na shobo zao. Shobo zao zitawamaliza to the maximum..maskini wanaendelea kuomba usiku na mchana.
  8. adrenaline

    Kufananisha Subaru SJG na LC 300 series ni matusi!

    Nimekupata mguu..maisha yote huwa naangalia mwendo😀😀 comfort nitaipata Nyumbani.
  9. adrenaline

    Kufananisha Subaru SJG na LC 300 series ni matusi!

    Tumemeza Mkuu...tusamehe..ila huko barabarani..kuna ligi ambazo ni moto😀😀 Huwa nawaza sana hizi magari kuna tumechezo chezo usipoelewa unataka nini basi umepotea.
  10. adrenaline

    Makonda, Kumbe kuna Watu wanapanga Njama za Kuharibu na Kudhoofisha jitihada za Rais Samia katika uongozi wake kwa Ndoto za 2030? Ni kina nani hao?

    Huku wakitegemea huruma ya Wananchi..hakuna Mwananchi kwa sasa mwenye shobo na shobo.
  11. adrenaline

    Ni kweli Wanawake wana akili kuliko wanaume wengi. Kwa sababu zifuatazo…

    Huwezi shauri mtu arushe ndege kwa uangalifu kama si rubani. Ndio maana yake..ishi nao kwa akili maana yake unakumbushwa wewe mwenye Akili ukae na mhusika kwa akili...otherwise wangetafuta jambo jingine kulieleza.
Back
Top Bottom