Kauli huzaa matokeo.
Kuna jirani wakigombana utasikia..una uwezo wa kuzalisha wewe?
Hakuna vichaa tunatengeneza vichaa kwa dharau na matendo yetu yasiyojipima.
Vitu havitokei kwa bahati mbaya..uzuri shobo ni za kwao..wapambane na shobo zao.
Shobo zao zitawamaliza to the maximum..maskini wanaendelea kuomba usiku na mchana.
Tumemeza Mkuu...tusamehe..ila huko barabarani..kuna ligi ambazo ni moto😀😀
Huwa nawaza sana hizi magari kuna tumechezo chezo usipoelewa unataka nini basi umepotea.
Huwezi shauri mtu arushe ndege kwa uangalifu kama si rubani.
Ndio maana yake..ishi nao kwa akili maana yake unakumbushwa wewe mwenye Akili ukae na mhusika kwa akili...otherwise wangetafuta jambo jingine kulieleza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.