Recent content by adrenaline

  1. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Sefu Musa adaiwa kuawa na askari baada ya kutuhumiwa kuwa mjangili Ngorongoro

    Arusha -Babati Ukunje pale Makuyuni?Then wamepitaje get ya Ngoro*2
  2. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Huyo unayemfanyia fitina kazini anategemewa na watu zaidi ya 5 hiyo laana ya ukoo mzima haitokuacha

    Umeongea jambo gumu kueleweka..deal na mtu mbaya ukigundua..deal naye juu na chini. Hakuna huruma Duniani hapa hasa yakija mambo ya mali.fedha. paa na mtu akileta utani na maisha yako
  3. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kumwambia ukweli huyu shemeji yangu kuwa mtoto sio wake bila mgogoro?

    Baadae kama si Mama au mtoto akikatwa kichwa tunakuja kulaaaaaaaaaaani. Aiseee UKAHABA UFANYIKE LAKINI SIO HIZO PIGO ZA KUUNA KIUCHUMI
  4. adrenaline

    JamiiForums Tanzania VODACOM Arusha Njiro Bendera Saba, mtandao haupatikani

    Wezi hao ..Wezi kama wezi wengine...huu ni mpango utaenda hivi kwa taka taka kibao..
  5. adrenaline

    JamiiForums Tanzania VODACOM Arusha Njiro Bendera Saba, mtandao haupatikani

    Mzee kama upo 😀😀😀 live umenilenga..😀😀ni aibu kama huna akiba za pembeni.. Hii Nchi kama mwendo ndio huu basi
  6. adrenaline

    JamiiForums Tanzania VODACOM Arusha Njiro Bendera Saba, mtandao haupatikani

    Hii Nchi upuuzi upuuzi mwingi sana
  7. adrenaline

    JamiiForums Tanzania VODACOM Arusha Njiro Bendera Saba, mtandao haupatikani

    Mkuu acha kabisaa
  8. adrenaline

    JamiiForums Tanzania VODACOM Arusha Njiro Bendera Saba, mtandao haupatikani

    Hizi Kampuni kama zimeshindwa kazi si watoke tu aiseee...huu ni upuuzi gani huu.
  9. adrenaline

    JamiiForums Tanzania VODACOM Arusha Njiro Bendera Saba, mtandao haupatikani

    Mzee ni kote..nimetoka kufanya muamala muda hii ni hatari hatari
  10. adrenaline

    JamiiForums Tanzania NMB wakwamisha Mpango wa Tonetone ya CHADEMA. Bado Vodacom

    Voda tayari huko hakuna miamala wala watu kupatikana
  11. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Hii michango ya harusi laki moja mnayoweka kwenye kadi tena bila option ya kuchagua ya size yako tutaonana wabaya aisee

    Kama umeletewa kadi ukapokea..hauko kwenye kamati. Toa hela unayoweza kutoa...
  12. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Ni michezo gani ya hatari uliwahi kufanya ili utoboe kimaisha?

    Mkuu niliita mtu site kupaka rangi..ndugu..akamaliza akakunja hela thrn akaja kusema kuwa nataka nimpe TB mimi nitajirike😀😀😀😀
  13. adrenaline

    JamiiForums Tanzania Ni michezo gani ya hatari uliwahi kufanya ili utoboe kimaisha?

    Mkuu uzuri walio kwenye hizo fani zao wengi wamelala usingizi😀😀mifumo mzee mifumo. Hongera sana na pole kwa pilika za kutafuta ugali.
Back
Top Bottom