Mihimili ipo mitatu
1.Serikali,huchaguliwa na Wananchi(kuna pahala wanajichangua wenyewe kwa mabavu)
2.Bunge,huchaguliwa na wananchi(Kuna pahala wanaibiwa kura na Serikali na kupangwa na serikali)
3.Mahakama,hawa wanachaguliwa na Serikali na kufuata maamuzi ya serikali si tena chombo huru kwa...
Weka na ubovu wa barabara ndio ukichaa pro max unakuja.
Watu wanakamiana kuwa Dar natumia masaa sita na experience ya kuendesha kwenye mazingira mabaya hatuna.
Tena Basi kubwa kama hilo watu 55 plus.
Mie gari dogo tu nikiweka simu na kutoa taarifa kuwa niko safarini.
Utaona simu yangu nikisimama huku kununua vitu au kuchimba dawa nje na hapo..kimewahi nilamba...
Chombo chochote cha moto hakina mwenyewe ukilijua hilo adabu lazima iwepo.
Hiyo barabara...
Alinipa dawa akaniambia nikasimame pahala flan mji niuone..then niseme maneno kuwa nionekane😀😀😀
Mkuu nikafanya kwa kujiamini mbaaya..huku nafanya kazi za watu..sijakaa sawa kweli ule mji watu wakaanza kuniona😀😀😀unapuliza tu unatia maneno yako.
Kupuliza tu nilipuliza kazi zile kwenye ule mji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.