Mkuu upo sahihi kabisa.
Ni majuzi nilikuwa na route ya 2000kms to and fro.Japo ilikuwa ni kazi ila faida si ile tena.
Then watu wanaotaka huduma wameganda akili zao hawaelewi.
Hata kama uko na pesa bila limit faida inakata mno..
Tako la nyani mwana nakuelewa kuna SJG
Jana jamaa anasema eti najaza mafuta ya 50,000/= kapata lita 12..nikamuuliza unaenda nazo wapi hizo lita😀😀😀😀
Wewe weka park gari tafuta usafiri nenda unakoenda😀😀
Nimetoka zangu Mbinga naeleka Dar kufika pale Makambako..kaja mtu anasema anaelekea Dar..ana 30k😀😀😀
Oya Mzee subiri bus zipo nyingi sana hapo.
Jamaa alicheka sana..safari ilikuwa nzuri sana...Mungu atusaidie wapambanaji wa road..
Kweli kuna sehemu nimelipa 75,000/= kwenda tu..😀😀😀
Mafuta nilikuwa...
Maarifa..maarifa...
1.Nimekuta familia inafuga toka 90s
Wajukuu wakienda kwa Babu na Bibi wanakimbiza kuku kama hawana akili nzuri😀😀😀
2.Kuna sibl wangu anafuga Mifugo ya nyama kubwa kubwa...huko utachoma nyama mpaka ukimbie hasa Mbuzi(Karagwe huko)
3.Kuna moja yeye bingwa na Kanga...
Kwenye mboga na nyama za kuku nimesahahu kabisa..hapo kwenye gesi Mkuu ..tuwe hai nitakutafuta muda ukifika.
Ukiwa na mji kuishi kwa ugumu ni kupenda na kutokukubali maarifa.
Tulifuga kuku wa kwetu aisee kuku ana taste moja murua sana😀😀😀
Toka 2023..wahusika hawashiki simu plus wako na majibu makali sana.
Bahati nzuri umri wao unasogea tofauti na wa kwangu.
Plan nilizo nazo wameanza kuziona mmoja kati yao ameshtuka.It's to late..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.