Ndugu.mwenyewe nimesumbuliwa sana. Baada ya kuwa nalalamika rafiki yangu alimwambia jamaa yake tanga.ndio nikaletewa. Ukiitaji ntakupunguzia bure na wewe ujitibie.ni mizizi unaikatakata.unaisafisha unaweka kwenye chupa ya uhai ya lita moja na maji.iyo chupa unaianika juani. Bac jion unakunywa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.