Sifurahii kuwa 'single woman', sijui nifanyeje

Mimi ni Mkristo, miaka 30, urefu wa wastani, mweusi, mwembamba. Kabila kutoka kusini mwa tz. Nina kazi na kipato kizuri tu. Nina ishi pekee yangu. Nina gari na kiwanja na if all goes well ninategemea kuanza kujenga mwakani. Elimu nina degree, na kwa sasa ninamalizia masters yangu.

Sijawahi kuolewa na sina mtoto.

Nimekua kwenye mahusiano ya mbali/long distance yapata miaka mitano sasa na mkaka (34yrs) ambae ninampenda na yeye naamini ananipenda ila naona miaka inazidi kuyoyoma bila dalili za kijana huyu kupropose.Tulifahamiana tukiwa chuoni lakini baada ya kugraduate tukapata kazi miji tofauti. Wote ni waajiriwa wa serikalini. Tunawasiliana kwa simu na kuonana ni mara chache mno.

Natamani sana kuolewa na baadae kupata mtoto lakini hilo bado halijatokea. Nikimuuliza anasema bado, nisubiri, kwa sasa familia yake bado inamtegemea.

Najua yote ni mipango ya Mungu na niko tayari kwa lolote alilopanga juu yangu lakini ukweli ni kwamba inaniuma sana kuona wenzangu wa rika langu wana familia na mie. In a sense najihesabu kama I am a single woman.

Naomba ushauri na maneno ya kunipa faraja ili nijisikie siko peke yangu kwenye situation hii.

Mimi hapo kwenye ( bado familiar yangu inanitegemea subiri kwanza) ndo pamenishtua sister akufukuzae si lazima akwambie toka, siku discourage but think twice about your guy he bother your head but you are not bother his head bila hivyo asingekupa jibu la kukatisha tamaa, hivyo najua ulikataa wengi kwa kuwa na msimamo lakini kwa hilo jibu tu tayari amekuacha tayari but follow your instincts.
 
Kama kawaida wazee wa fursa hawachelewi...na huko pm matapeli watakuwa wamemiminikaje? Ushauri wangu hawa wa humu wapotezee kama mchumba tafuta huko mtaani kwenu

Hahaha hivi dada washawahi kukusumbua humu, maana naliona hilo neno mara nyingi
 
haahahahaha, najua hiyo ' sifurahii kuwa single woman' imetoka moyoni kabisa .

nakuambia ukweli kabisa tena kutoka moyoni huyo mkaka mwenye 34yrs ana mke 98% ndo maana hana pressure kabisa na ukileta nyenyenye atakupa maneno ya karaha hadi utafurahi mwenyewe kuwa na mchumba kimyakimya na uwe umemuacha bila taarifa

ila huyo mpya umwambie ukweli wa mambo na kuwa huna mpango na huyo mariooooo kwani ukijaribu kumwambia ooohh mi nataka niwe na mtu wangu niolewe atakuambia babyy usiniache ntakufa blablabla ili mradi akuone unabaki wakumlaamikia daily aone hujaolewa 40+ ili akudharau sasa ( hawa nungunungu waone hivihivi wanapendaga sana wakuone umepauka kisa yeye)

una experience
 
Mleta uzi...furaha yako ipo mikononi mwako. Fanya tathmini ukiona inafaa tafuta ustaarabu mwingine (tathmini ya kina ni muhimu usije jikuta umeacha mbachao kwa msala upitao) maana unaweza jifunga kwa ntu asiyena mpango na wewe

Hakafu 30 mbona bado?


Mkuu 30 bado? Stop kidding aiseee 30 anaelekea kwenye uzeee na wasichana wa miaka 20 wapo kibao na wanataka kuolewa...kuoa kipaji mkuu dada vumilia tu Mungu atakuonyesha njia sahihi taadhari ukifika 33 bado jua ndio litakuwa linazama tena tafuta japo mtoto kilazima
 
haahahahaha, najua hiyo ' sifurahii kuwa single woman' imetoka moyoni kabisa .

nakuambia ukweli kabisa tena kutoka moyoni huyo mkaka mwenye 34yrs ana mke 98% ndo maana hana pressure kabisa na ukileta nyenyenye atakupa maneno ya karaha hadi utafurahi mwenyewe kuwa na mchumba kimyakimya na uwe umemuacha bila taarifa

ila huyo mpya umwambie ukweli wa mambo na kuwa huna mpango na huyo mariooooo kwani ukijaribu kumwambia ooohh mi nataka niwe na mtu wangu niolewe atakuambia babyy usiniache ntakufa blablabla ili mradi akuone unabaki wakumlaamikia daily aone hujaolewa 40+ ili akudharau sasa ( hawa nungunungu waone hivihivi wanapendaga sana wakuone umepauka kisa yeye)


Duh....tumekuwa nungunungu tena
 
Kama una master tafuta PHD holder maana vidume wengi tuna degree na wengi tunamiliki baiskeli
 
haahahahaha, najua hiyo ' sifurahii kuwa single woman' imetoka moyoni kabisa .

nakuambia ukweli kabisa tena kutoka moyoni huyo mkaka mwenye 34yrs ana mke 98% ndo maana hana pressure kabisa na ukileta nyenyenye atakupa maneno ya karaha hadi utafurahi mwenyewe kuwa na mchumba kimyakimya na uwe umemuacha bila taarifa

ila huyo mpya umwambie ukweli wa mambo na kuwa huna mpango na huyo mariooooo kwani ukijaribu kumwambia ooohh mi nataka niwe na mtu wangu niolewe atakuambia babyy usiniache ntakufa blablabla ili mradi akuone unabaki wakumlaamikia daily aone hujaolewa 40+ ili akudharau sasa ( hawa nungunungu waone hivihivi wanapendaga sana wakuone umepauka kisa yeye)

Mmh basi haya mamito
 
Kama kawaida wazee wa fursa hawachelewi...na huko pm matapeli watakuwa wamemiminikaje? Ushauri wangu hawa wa humu wapotezee kama mchumba tafuta huko mtaani kwenu

Aiseeeee daaah!!
 
Mimi ni Mkristo, miaka 30, urefu wa wastani, mweusi, mwembamba. Kabila kutoka kusini mwa tz. Nina kazi na kipato kizuri tu. Nina ishi pekee yangu. Nina gari na kiwanja na if all goes well ninategemea kuanza kujenga mwakani. Elimu nina degree, na kwa sasa ninamalizia masters yangu.

Sijawahi kuolewa na sina mtoto.

Nimekua kwenye mahusiano ya mbali/long distance yapata miaka mitano sasa na mkaka (34yrs) ambae ninampenda na yeye naamini ananipenda ila naona miaka inazidi kuyoyoma bila dalili za kijana huyu kupropose.Tulifahamiana tukiwa chuoni lakini baada ya kugraduate tukapata kazi miji tofauti. Wote ni waajiriwa wa serikalini. Tunawasiliana kwa simu na kuonana ni mara chache mno.

Natamani sana kuolewa na baadae kupata mtoto lakini hilo bado halijatokea. Nikimuuliza anasema bado, nisubiri, kwa sasa familia yake bado inamtegemea.

Najua yote ni mipango ya Mungu na niko tayari kwa lolote alilopanga juu yangu lakini ukweli ni kwamba inaniuma sana kuona wenzangu wa rika langu wana familia na mie. In a sense najihesabu kama I am a single woman.

Naomba ushauri na maneno ya kunipa faraja ili nijisikie siko peke yangu kwenye situation hii.

Sema unatamani kuolewa na kupata watoto na sio mtoto. Mungu atakufanyia wepesi.
 
Kama kawaida wazee wa fursa hawachelewi...na huko pm matapeli watakuwa wamemiminikaje? Ushauri wangu hawa wa humu wapotezee kama mchumba tafuta huko mtaani kwenu

Duh unajua nakuheshimu sana Khantwe ila leo unaharibu....
 
Last edited by a moderator:
una degree2, watoto wa2, kwa waume wa2.

iyo nimekupa kama angalizo kuwa makini icje ikatokea kwako. uckubali kuzaa tu bila ndoa, jikabidhi kwa Mungu, Na Unaweza Kwenda Kwa Mch.Wako Ukamweleza Nae Atakusaidia. Uctafuta Mume Kwa Kuangalia Vigezo Vya Elimu Ya Kawaida, Bali Mwenye Hofu Ya Mungu.
Kwa Ushauri Zaidi Nipm Au Piga Cm 0786100772, 0757856336

Mmmmmmmmmh...... kaka uko vizuriiiii...!
Staili yako nimeikubali lazma akae hahaa
 
Back
Top Bottom