U can't change kafira ....unless it change u....
Hii jamii imefika mahala watu wanakiamka wanatoa maamzi pasi kuwashirikisha wadau kwa ajiri wa maoni......Tuombeane tu.....
Semi..industrialized nation....:
Sent using Jamii Forums mobile app
najua watu tunavyo kumbatia visa vya kiyahudi na kuvipa kipaumbele katka maisha yetu....mmesahau imani za mababu zetu na wahenga......dini zmekuja karne gani.....hakuna neno jumamosi wala jumapili kwnye bibilia.....hamjui hata sku hizi kihistoria tuaenzi miungu ya kigiriki....kwa mwenye fikra...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.