Recent content by Adjoub

  1. A

    Kila Binadam amezaliwa na Jinn

    Shukrani kwa majibu yako, Pamoja na maelezo yako, bado hujanambia majini hasa ni kitu gani? Hujasema kwanini wanatumia Quran ambayo imeteremshwa kwa binadamu wakati wao ni majinni? Kwanini wasiwe na kitabu chao sawa na maumbile yao na wakakifuata hicho? Kwa upande wa Ibilisi, je ni kweli ni...
  2. A

    Kila Binadam amezaliwa na Jinn

    Hujafafanua ni nini hasa majinni. Hujasema hao majinni wanafananaje? Hujasema kama majinni ni viumbe vingine kwanini wanatumia Qurani hiyo hiyo badala ya kuwa na aina nyingine ya vitabu ambavyo haviingiliani na wanadamu? Hujasema kama majinni ni viumbe ambavyo tunazaliwa navyo kwanini wahusishwe...
  3. A

    Kama Mungu hayupo, umaarufu wake unatoka wapi?

    Hoja ya kwanza, Si kweli kuwa Lucifer ni mwenye nguvu kuliko Mungu na pia, si kweli kuwa duniani maovu ni Mengi kuliko mazuri. Ukweli upo hivi; Siku zote Lucifer au shetani hawezi kumshinda Mungu hata kama Dunia yote apewe Lucifer au Shetani kwa sababu Mungu ndio muumba wa Lucifer na Shetani...
  4. A

    Kama Mungu hayupo, umaarufu wake unatoka wapi?

    Soma kitabu hiki, utajua ukweli kuhusu Mungu https://www.alislam.org/library/books/OurGod.pdf
  5. A

    Kama Mungu hayupo, umaarufu wake unatoka wapi?

    Soma kitabu hiki, utaelewa Ukweli kuhusu Mungu na namna ya kumuona https://www.alislam.org/library/books/OurGod.pdf
  6. A

    Kama Mungu hayupo, umaarufu wake unatoka wapi?

    Mungu ni kweli yupo kabisa tena bila ubishi. Yupo kabisa kama vile ulivyo uwepo wa jua na mwezi. Lakini hatuwezi kumuelewa Mungu kwa kumtafakari kwa namna tunavyolitafakari jua au mwezi. Mungu ni beyond that. Na ndio maana waliojaribu kumtafuta Mungu kwa namna ile tutafutavyo vitu vilivyoumbwa...
  7. A

    Edward Lowassa hukukidhi kiu ya wanawake!

    Ndio maana mnsishia kudanganywa na ndugu CCM tu kwani ndio mafundi wa kuongea zaidi ya masaa mawili mwishowe mnaendelea kuwa maskini na kuitwa malofa kwa miaka 50. Amkeni huko usingizini...
  8. A

    Edward Lowassa hukukidhi kiu ya wanawake!

    Eti, 'Tunataka Lowassa apewe saa nzima ahutubie'...kama si hoja za kitoto ni nini? Kweli mtu na akili yako unatoa hoja kama hiyo?
  9. A

    Edward Lowassa hukukidhi kiu ya wanawake!

    Lizaboni...soma vizuri cv ya EL kabla hujaropoka maneno yako ya kijinga mbele ya wenye akili.
  10. A

    Edward Lowassa hukukidhi kiu ya wanawake!

    Kuna watu wanalazimisha kuwa maadui wa ukawa na Lowassa kwa kurise hoja za kitoto...
Back
Top Bottom