Majuzi Alhamis wakati napita pita huko Quora,nilikutana na post iliyokuwa imeandikwa (katika mtindo wa swali) kwa maneno yenye weusi mkolezo, kilichonivutia na kuukonga moyo wangu, ni utamu wa swali hilo,hakika lilinifikirisha.
Basi bwana, swali lenyewe lilikuwa linasomeka hivi, “If the...