Recent content by Adelaide Kisinda

  1. A

    Nimeombwa hela ya wigi 300,000/= kuna wigi la bei hiyo?

    Laki tatu tu unashituka? Zipo mpaka laki 8 to 1m lakini zinatumika for years. Sasa kazi kwako
  2. A

    Uso kwa uso na mke wa rafiki yangu gesti

    Acheni uzinzi wewe na huyo mwanamke wa rafiki yako
  3. A

    Nahitaji Kiwanja haraka Kibada au Kisota-Kigamboni

    ​Kiwanja kilichopimwa kibada uwe na atleast 15 milioni kwa sasa.
  4. A

    Kwa wema wote niliomfanyia huyu house girl, hii ndio shukurani yake aliyonilipa

    Aisee huwa mara nyingi mimi ni msomaji tu lakini hii ya leo imenigusa sana. Pole dadangu. Mwamini Mungu, tumaini bado lipo and HIS HAND OF MERCY WILL HEAL YOU AGAIN.
  5. A

    Ukweli kuhusu unga airport.

    Kilo 150 hamkuziona??????
Back
Top Bottom