Kilimo sawa lakini ukumbuke mkuu wapinzani hawawezi kuwa wajinga kunga'ang'ania jambo hili, wabunge wanapokuwa bungeni ni haki yetu kujua nini wanafanya na wanazungumza wakiwa huko, hata kama anayeangalia ni mtu mmoja tu, kwa sababu TBC ni chombo cha umma na kinaendeshwa kwa kodi za wananchi...
Mnapoleta mada jaribuni kuziweka katika mizania na athari zake kijamii, kiuchumi, kisiasa ili mwisho wa siku ziwe na matokea chanya kwenye jamii yetu, uhuru wa kuabudu ni haki ya kila raia maadama havunji sheria zilizowekwa
Pasco suala la kodi sio siri ni jambo ambalo wananchi tunapaswa kujua, kumbuka kuwa japo s kwa njia ya moja kwa moja lakini sisi ndio tuliyoipa ajira serikali kwa kura zetu na tukawapa watu wasimamie sasa kama watu waliopewa kazi ya kusimamia idara zao hawafanyi vizuri tunatakiwa...
Kimtazamo naona nchi inaongozwa kwa matamko, shida iliyopo serikalini na mfumo wa uendeshaji serikali ambao kila raisi anapoingia anakuja na wa kwake kwa hiyo raisi akiwa legelege na mfumo legelege akiwa imara inakuwa kinyume chake.
Mimi nadhani rais anatakiwa aangalie chanzo cha majipu, kwa...
Kiukweli upinzani nchi hii umeleta mageuzi, Makelele ya upinzani juu ya udhaifu mkubwa wa serikali ya chama cha tawala ndio umemfanya JPM kufanya kila jambo ambalo litawanufaisha wanannchi.
Yaani watu kupenda kutafuta njia za mkato?
Kama alishinda kihalali mapingamizi ya nini , apambanae mahakamani kutetea huo ushindi wake kwa sababu haki na batili kwa kawaida havifungamani
Kama ni haki yake kafulila ataipata tu
Huyu Mzee hafai, keshakaa kwenye uwaziri miaka kibao hakuna alichofanya zaidi ya propaganda tu, huu ni wakati wa fikra zenye maono sio zilizochacha kwa unafiki na fitina Kama huyu mzee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.