Wapendwa wanajamvi hapa jf! Ni imani yangu kila mtanzania anaiyona au anaisika hali halisi ya migogoro iliyosambaa karibu kanda zote hapa tz hasa kanda ya mashari mfano morogoro. Naomba tujadili sifa zipi anastahiki raisi ajaye ili aondoshe kabisg hii migogoro? Nawasilisha.
Kweli bora tusubiri wagombea binafsi, kiongozi unaemtegemea anasimama jukwaan na asema akiingia madarakan ataruhusu utengenezaji wa gongo kihalali wakat kiafya ni hatari sana kwa watz.
Watu wengne tunadhan mnaweza kuwa na busara na kuandika vitu vyenye maana, huwezi kuwa tofauti na mtu asiye na akili,unaushahid kuwa zzt kapewa pesa na ccm?
Huyu mleta uzi ajitahid kutengeneza heading inayoendana na content, angeandika'unafik wa wabunge wa ccm'
hata hvyo huyu mwenyewe n mnafiki mkubwa sana,anaacha kusema ukweli hvi hajui kwamba hakuna viongozi kama wa CHADEMA. Ukweli ni kwamba matukio mengi ya kutisha yameratibiwa na viongoz wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.