Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 4,658
- 4,160
Hao 'majasiri kutoka wagombea binafsi' unaowataka wametoka chama gan?
Akigombea 'KIBOKO YA MUONGO', aka 'MZEE WA VICOBA:kev:' MI KURA YANGU KAIDHIBITI!
Hao 'majasiri kutoka wagombea binafsi' unaowataka wametoka chama gan?
Tuanze kutumia maneno ya Katiba, ni mgombea HURU sio Binafsi
Haihitaji elimu ya shahada kujua wewe ni mlengo gani, ulifikili chadema ni lelemama, ukiwa chadema jua umekuja kupambana, we are here to solve problems, and those who are creating problems like Zitto must be excluded, ukiona muziki huu huuwezi tembea kimya kimya, sisi tunajitambua, hatununuliwa kama wafanyavyo ccm kupata wanachama, we know what we do.
Haihitaji elimu ya shahada kujua wewe ni mlengo gani, ulifikili chadema ni lelemama, ukiwa chadema jua umekuja kupambana, we are here to solve problems, and those who are creating problems like Zitto must be excluded, ukiona muziki huu huuwezi tembea kimya kimya, sisi tunajitambua, hatununuliwa kama wafanyavyo ccm kupata wanachama, we know what we do.