Recent content by adacadabra

  1. adacadabra

    Looking for a relationship (long-term)

    [emoji112]
  2. adacadabra

    Nilichogundua Kufungwa kwa Taifa Stars

    Hamna stars wanajua bana sema asiekubali kushindwa si mshindani.
  3. adacadabra

    Lete fyokofyoko ukutane na Tavor ya Kiisrael

    Ni haki yake kikatiba kama Raisi Wa Nchi kulindwa, kama wengine hawakutaka its there choice , ila naamini ile ishu ya makirikia tu ilikua inamuweka katika wakati mgumu sana kiulinzi kwani tunajua hizi taasisi Kubwa za kibiashara zikishindwaga mezani huwa zinajaribu any means take a vivid example...
  4. adacadabra

    NAKURU, KENYA: Watu 27 wafariki dunia baada ya bwawa la Patel kuvunja mingi zake

    Poleni sana ndugu zetu Mungu awape njia na mwanga Wa kwenda mbele baada ya janga hili.
  5. adacadabra

    Why should Magufuli reject Sylvia Mulinge as Vodacom CEO

    Aisee well said Gezaulole , these Guys wanalaumu kuhusu hayo maamuzi ya huyu Dada kumbe hata wao wana similar law regarding foreigner experts , aisee basi nadhani wana hidden agenda and that's is doing something with our economy and gezaulole you have open the whole truth., viva tan ania viva...
  6. adacadabra

    Why should Magufuli reject Sylvia Mulinge as Vodacom CEO

    Aisee well said Gezaulole , these Guys wanalaumu kuhusu hayo maamuzi ya huyu Dada kumbe hata wao wana similar law regarding foreigner experts , aisee basi nadhani wana hidden agenda and that's is doing something with our economy and gezaulole you have open the whole truth., viva tan ania viva...
  7. adacadabra

    The best of the best in Tanzania

    Afu ww nairobiwalker acha ushamba basi , unaspend mda wako kulinganisha vitu ambavyo havitokusaidia chochote, nenda kafanye kazi huko , kama huna kazi kalale pmbafu.
  8. adacadabra

    Mtoto anayeandaliwa kuwa Rais wa JMT mwaka 2050 na jinsi makisio yanavyopishana: Hata hivyo ya Mungu mengi

    Hahaha hope can build something , you never know anaeza hata kujakua RC or DC
  9. adacadabra

    CEO wa Vodacom aliyeteuliwa toka Kenya anyimwa kibali na Serikali. Aambiwa wapo watanzania wa kufanya kazi hiyo

    Sawa kipanga point yangu hapo ni tu kwamba ulisema " Wa tz wote ni wavivu na wezi" kitu ambacho so kweli hata kidogo , yes foreigners wapo kila inchi even Kenya , same to Tanzanians wapo pia nje, kama mtz aliweza kupewa nafasi ya juu UN that's means tunaweza . kaka peace Mzee umeeleweka na I...
  10. adacadabra

    CEO wa Vodacom aliyeteuliwa toka Kenya anyimwa kibali na Serikali. Aambiwa wapo watanzania wa kufanya kazi hiyo

    Hahaha ndugu muhimu kupata ujumbe, lugha isikuchanganye sana ilikuja kwa meli hiyo wala hatukuzaliwa nayo , narudia tena peace and love.
  11. adacadabra

    CEO wa Vodacom aliyeteuliwa toka Kenya anyimwa kibali na Serikali. Aambiwa wapo watanzania wa kufanya kazi hiyo

    Sasa mbona unatuita Wa tz wote wezi na wavivu , sema basi some of them!! kuna watu kama bahresa , mo dewji n.k uwezi ukasema kama ni wezi au wavivu how they manage to be there? Afu mbwiga ni jina la ukoo watu Wa morogoro huko acha ushamba jibu hoja so unageneralize mambo .
  12. adacadabra

    CEO wa Vodacom aliyeteuliwa toka Kenya anyimwa kibali na Serikali. Aambiwa wapo watanzania wa kufanya kazi hiyo

    Usi generalize mambo ndugu yangu , wezi na wavivu wapo pande zote Kenya na tz , usituganye Wa tz kwamba hii inchi imejengwa na foreigners(tz) narudia tena wakenya hakuna haja ya kulalamika sana mbona ni ishu ya kawaida sana take into consideration ndugu zetu wakenya mpo wengi tu huku tz kwann...
  13. adacadabra

    CEO wa Vodacom aliyeteuliwa toka Kenya anyimwa kibali na Serikali. Aambiwa wapo watanzania wa kufanya kazi hiyo

    You idiot nakumatt is no more in tz almost a year now while still other supermarket running smoothly, ondoa notion ya mwaka 47 at Kenya wanajua sana kuliko nchi nyingine, tunajua mnapenda kujikweza ila ni watu wakawaida sana mmejaa kibao huku Tz and never a tanzanian complain about it, ila leo...
Back
Top Bottom