Nilichogundua Kufungwa kwa Taifa Stars

Nilichogundua Kufungwa kwa Taifa Stars

Sheikh23

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2016
Posts
1,202
Reaction score
2,001
Pole kwa wapenzi wenzangu wa soka na timu ya taifa..
Binafsi Naamini kingeundwa kikosi cha pili kikihusisha waliosugulishwa benchi mfano Yondani,Faisal,Zayid na ambao kwa sababu tusizozijua hawakuitwa kujiunga na timu ya taifa Plus Msuva,Samatta,Ulimwengu,Banda,Boko na Kesi tusingefungwa,narudia tena tusingefungwa 3_Bashite
 
Mbona waliotoa suluhu na wababe wa kundi, Uganda, ndio haohao waliopigwa 3 leo. Nachokiona ni kuwa-undermine Cape Verde, kama kocha angetumia mbinu na mfumo uleule walipocheza na Uganda, Stars wasingefungwa kipuuzi kama leo.

Vv
 
Tatizo mnaiona stars kama france au german, mnafikiri hawa watu walichukua tu wc kwa kutoka ndotoni? Ni mipango ya muda mrefu

Unaanzaje kumuita ulimwengu wa sudan unamuacha adi yusufu

Na yule dogo wa timu waloifumua genk juzi 3-1

Chilunda?

Ina maana tifu tifu hawana list ya wachezaji wanaokipiga mambele?

Bongo nyoso bora tupeleke timu kiba na diamond ndo tutaweza kuliko hawa vibwengo
 
Jina linawazuru TAIFA STAR ndio nini? Iteni tuu TANGANYIKA
 
Mkuu Taifa Stars ni vurugu tu.


saivi nimepata team ya kuiua kila mkeka wangu ni taifa stars hata ikicheza na team ya wanawake tutafugwa tu
hahahahaha mimi wala sishangai ndo kwanza nimeshinda bet..maana naijua hii timu ukiona imepambwa sana na vyombo vya habari ujue kinachofuata ni kipigoooo....hii team alwayz huwa inatuangusha....na kiukweli mabadiliko hayawezi kutokea leo wala kesho...kwa kifupi tusubr kizazi kingine
 
Back
Top Bottom