kuna watu wanakuchezea, hawajakufikisha unapotakiwa kuwa,ndio maana unaona pul ni zaidi ya muhogo live, jitahidi upate mjuzi mhangaikaji utarudiwa na akili ........
Kijana hiyo avata inaonesha wewe ni mpare, jadi yenu kupenda hovyo, ni kweli hao viumbe ni wepesi sana tena wenye marika yasiyozidi 40, ila ukiwaendekeza 713 yako italiwa!!!!
Habari wana Jf, niko katika hatua za mwisho kukamilisha ranchi ya mfano ya ufugaji wa Punda hivyo nahitaji watu serious watakaoweza kuniuzia punda kwa bei nzuri.
Nina mpango wa kuanza na punda 1000. mwenye kuweza kuwapata tuwasiliane (pm)
Hivi ni kwanini haipiti siku hata moja bila watu wa lumumba kumtaja Lowassa? Hebu jitahidini walau mkae siku saba bila kumtaja huyu baba tuone kama maisha yataenda au yatasimama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.