Cyber war ambayo inazidi kushika kasi sasa inafuruliza katikati ya jamii inayo pigana kujikwamua kiuchumi je mabanki ;nyanja nyeti za kitaifa zitabaki salama /usalama wa ndani selikali imejipangaje na wimbi hili kuu???
Siku moja majira ya saa m 1 unusu nikirudi nyumbani kwenye texi bara 2 ya kilwa rd maeneo ya bandari mivinjeni kibaka alidapa simu yangu ina smart phone kupitia dirisha lililoo kiwa half way open tukio liltokea kwenye foleni kisha taratibu akatokoomea vichakanii sikuwe kifanya lolote...
JE WE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.