mmh???,watu walio kwenye familia imara na yenye umoja huficha tofauti zao nje kwani hizo huzijadili ndani. Umazwazwa tu ndo hufanya mtu kuacha umoja Wa familia yake na kusema yasiyofaa, eti tu kwakuwa kuna matatizo nda ya familia.
Hahahaha, ndo kampeni za kutaka "Uhuru kenyata" akatafute pakuyauzia maziwa yake???????
yapo mengi ya kuwapiga marufuku ili heshima iwepo bt mkwere amekaa kimya hajasema lolote
Yap!uko sawa kwa upande fulani mkuu.
linapokuja swala la mwenza Wa maisha ni tofauti na mpenzi Wa muda mfupi.
vingezo vinavyotumika kumpata mwenza Wa kudumu ni tofauti kabisaa na vinavyotumika kumpata Wa kustarehe nae kwa muda mfupi.
lakini Pia naona Kama mila na desturi bado zimekuwa...
Watu wanatumia nguvu nyingi sana kumpiga mleta mada, lakini wanasahau utafiti unapigwa kwa utafiti na kuangalia vingezo vilivyotumika katika utafiti husika.
kimsingi tunapaswa kujitasimini kwa kina sana
hakuna uhusiano wowote mkuu na hicho chama.
wengi pia tunasoma na kusikia habari kutoka katika vyombo mbalimbali vya habari, bila kusahau vipo vyombo vya "udaku" pia.hivyo Nivema kufuatilia habari kwa kina ili kupata uhakika wa jambo husika.
Mungu akitaka kuwaondoa viongozi/watawala madarakani huwapiga upofu ili wasione yanaendelea na wakishakuwa vipofu hujawa na kiburi kwakuwa hawaoni huamini kuwa Wako sawa mwisho huwa Ni kuanguka Tu.
wananchi wanayataka mabadiliko siyo kuyahitaji tena "wanayataka" waliopo madarakani hawalioni...
Natumaini ni wazima kwa ujumla wenu,
kwa mara ya kwanza nilikutana na neno hili 'spiritual husband' hapa jukwaa la MMU. kwa bahati mbaya halikuwa na maelezo, ila mchangiaji katika mada fulani aligusia kuwa kuna kitu kama hicho ambacho ''kinawatesa wadada wengi''.
binafsi nilijikuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.