Ikifika october watahangaika na maCCM yao make yanahujumu uchumi wetu watanganyika. Ngoja tuchukue nchi yetu tulio wazalendo na huo ubilionea utakua mwisho
Wasaka tonge wote wanajifanya kumsahau Mwal. Nyerere na Tanganyika yetu. kwani historia ipo wazi ukirudi nyuma kidogo miaka ya tisini wakati wa mchakato wa mfumo mpya wa vyama vingi bila busara za mwalimu na mheshimiwa Walioba kulazimisha mambo yangekua kama miaka ya sabin kurudi. Tuikatae rasimu
Jamani watanganyika na wazanzibar tuungane pamoja kuikataa rasimu ya akina ccm na wachumia tumbo wote kama kina Sita na kina Chenge, kina Seif Rashid na wenzao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.