Mzanzibar Halisi
JF-Expert Member
- May 8, 2014
- 284
- 106
Nipo njiani wakuu naelekea uwanjani nikifika kibandamaiti habari zote nitakupeni hapa pamoja tunaweza.
Nakubaliana na wewe asilimia mia itaonekana kama viongozi wa UKAWA hawana au hawazungumzi lugha moja. Ikumbukwe kwamba matumaini ya Wananchi yako chini ya UKAWA sasa tukianza kutofautiana kwa hili itaonekana Kama ni watu wasiokuwa na msimamo wowote
Tujitathimini kwa hili
BACK TANGANYIKA
Nakubaliana na wewe asilimia mia itaonekana kama viongozi wa UKAWA hawana au hawazungumzi lugha moja. Ikumbukwe kwamba matumaini ya Wananchi yako chini ya UKAWA sasa tukianza kutofautiana kwa hili itaonekana Kama ni watu wasiokuwa na msimamo wowote
Tujitathimini kwa hili
BACK TANGANYIKA
Picha tafadhali, Mzanzibar Halisi
Usijali zitakuja sasa hivi hapa ndio kwanza nafika watu ni wengi sana natafuta sehemu nipige picha uzuri.
Mkuu, hiyo stream nimeipata lakini ni muziki tu uliopo tena wa DRC na sasa ni saa kumi na dakika ishirini na tano jioni mbona.Chuchu FM kwa kupitia Masafa ya FM hata Dar inafika ila si kwaubora sanaaaa ila unaweza ukatumia stream yao ukawapata popote pale duniani
Kwani wao ni MIUNGU hivyo kauli yao haipingwi na mwengine!??
Wale ni vipapa kunuka wanaoendekeza dhiki na ujinga wao kwa kuiuza Zanzibar kwa maslahi yao na familia zao! Tena maslahi yao ni ya muda Mfupi!!
Umeona wapi MTU kuweka REHANI nyumba yake kwa ajili ya kukopa kilo ya Mchele!!!??? Wale ni mbwa koko wasioitakia mema Zanzibar.