Ustaarabu wa kula kula pesa za watu na kufisadi?Kwa kweli Arawa hata pia la taka likijaa litatulia na hapo taka zikianza mwaka nje ni lazima zitanuka na hao Paka wa vichochoroni na M'mbwa kuko watazichakura na kuzisambaza."IMEFIKA WAKATI MUAFAKA".Mnakula hadi mnavimbiwa na kujambia midomoni...
Zito wa Mwamgongo/Kagunga,nini maana ya shamba mbona umevurugikiwa ama umevurugwa sana.Kweli umesoma na kusomea lakini hujaelimika.Ulitaka nchi hii kukabidhiwe wewe mjanja wa Mwamgongo/Kagunga.Chama chako ndio kinaanza kwenye shimoni.
Shame kimya kimya ill iwe nini?La kuvunda halin ubani.Bila kuyafichua vyema haiwezi Marika na kuwa katika sura ya kushindania kuongeza nchi.Vinginevyo Vyema yetu vya Upinzani nikabaki katika hadi ya SACCOS na Wanaharakati tu huku wakipiga hela kifisadi.
Ama kweli sasa inadhihirisha kuwa "Akili ni kama nywele kila mmoja anazo zake"
Hivyo hili sio genge lililokuwa linafanya Biashara ya DHAHABU feki na BOT Mwanza kwa kuyeyusha koki za bomba.?(kakumba)
UKUBWA WA PUA,SIO WINGI WA kamasi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.