Kuna mda tunapotezaga nguvu kwa mambo yasio ya msingi!!! Kwani wasanii kuwa ccm kuna kifungu gani cha katiba wamevunja?? Na kwanin wapinzani na wao wasianzishe bend yao iwe inawambia??
Mikataba ndugu!! Wachezaji wa nchi za nje mikataba yao wanayosaini wanaweka na vipengele vya kuuzwa timu inapofika bei!! Ila wachezaji wetu kwanza kusainiwa simba au yanga anaona kama amesaidiwa maisha
Chini ya uongozi wa karia timu zote za taifa zipo active uwezi sikia timu yoyote ile ya taifa kuanzia under 15 mpaka timu za wakubwa imeshindwa kumudu maandalizi au kukosa nauli ya kusafiri !!! Pia ndo raisi pekee wa tff alietumia vizuri fedha za fifa ata fifa wenyewe wanalijua ilo!! Nenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.