Recent content by achaar

  1. A

    Rais Magufuli akutana na Maalim Seif Ikulu leo

    Weka akiba ya maneno
  2. A

    Rais Magufuli akutana na Maalim Seif Ikulu leo

    Una uhakika na unachokiongea na ni kiongozi gani wa ukawa alietamka kuwa hamtambui magufuli? Punguza jazba
  3. A

    Ukawa hawajakomaa wanategemea wazungu!!

    Huyu anaitwa jingalao
  4. A

    Mbowe: Kukosa pesa za MCC Inachafua jina la nchi ktk medani za kimataifa

    Toa ushahidi wa kituo kimoja tu Zanzibar ambacho IT iliingilia mchakato wa kura Zanzibar, weka hapa. Au unafurahisha barza? Ukishindwa basi angalau lete kifungu cha katiba kilichomfanya jecha kufuta uchaguzi. Usiwe unaongea tu kama huna kaa kimya
  5. A

    Bodi ya MCC yainyima Tanzania fedha za msaada

    Well said mkuu, uchambuzi wako umezingatia ukweli wa mambo na uhalisia wake na hasa kipindi hiki, ila sijui Magufuli anataka mda gani zaidi
  6. A

    Wazanzibari mnapenda umaskini?

    Jibu hoja acha kuzungusha maneno.
  7. A

    Wazanzibari mnapenda umaskini?

    Jibu hoja acha kuzungusha maneno.
  8. A

    Mauza uza: Maalim bado anatumia Huduma za Serikali ya Zanzibar

    Tungo ndefu sana dokta, hii inaonyesha ww ni mtunzi hodari sana, endelea kutunga na utanufaika. Ila ulizia zaidi kwa hao waliokueleza ni nini kimetokea mpaka maalim akaendelea kutumja hizo facilities? Muulize tu sheni nahakika atakupa jibu
  9. A

    Nani anaandika hii script? Magufuli na Kikwete wote wanairudia tu...

    Suala la muungano ni nyeti sana, ni siri kubwa ambayo rais yyte wa ccm akiingia ikulu huwa anaridhi na kuifanyia kazi.... kuna habari hata mwalimu nyerere kabla ya kufa aliusia sana kuhusu kulinda muungano, nani alimuua karume? Kwa ajili gani? Kuna taarifa kuwa wakati mwalimu anahangaikia uhuru...
  10. A

    UKAWA na akili za kutawaliwa na wazungu!

    Vita ni kila kona hadi haki isimame, maandamano ya wazanzibari walioko ughaibuni haikuanza leo wameanza zamani sana kabla hata ya umaarufu wa chadema..... unapoleta uzi jaribu kufanya ka utafiti kidogo
  11. A

    Machangudoa wa Sinza Mori wezi, Chukua tahadhari

    Huu uzi utadumu sana hapa jf, after few weeks watu wana u update.
  12. A

    Rais Kikwete afanya Mazungumzo na Mgombea Urais wa Zanzibar, Maalim Seif - Ikulu ya Dar

    1. Maalim ameenda ikulu kuonana na kikwete akiwa amefunga, kumuomba Mungu amuongoze kwa salama na mafanikio, hakwenda kunywa kahawa wala juice 2. Maalim kwa sasa anapita kila kona, kuanzia kuonana na wazee, viongozi wastaafu, viongozi wa dini, jumuiya za kitaifa na kimataifa, mabalozi na...
  13. A

    Ana boyfriend lakini anasomeshwa na jamaa mwingine anayemtaka

    Sema ukweli hata kama upo mbele ya mfalme jeuri, ni ukweli tu ndio utakaokuokoa mbeleni, zaidi ya hapo anaelekea kubaya sana
  14. A

    Ananiamsha saa 10 alfajiri niwahi daladala nisichelewe kazini,kumbe huku nyuma!Daa

    1. Mpenzi/mke wako 2. Unalala nae usiku kucha 3. Anakuamsha alfajiri kuwahi kazini 4. Ukitoka tu kijana anaingia... Unganisha dot ya 2 na 4 utagundua kosa unalo wewe. Unatutia aibu wanaume wenzio
Back
Top Bottom