Recent content by acha kiwake

  1. A

    Kwanini Lowassa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2015

    Nani atayaokoa makundi mabaya kama haya............... shule hapana , umaskini hapana , unafki na tamaa labda ndo sababu
  2. A

    Zitto aitisha Press Conference (Machi 22, 2015) Serena Hotel

    Kweli wanasiasa wa nchii hii bado awajakomaa japo wao wanajiona wamekomaa unawezaje kuchukua pesa za chama kingine ili kukiua chama kingine hao ndo wanasiasa wetu walio komaa na vyombo vya habari kuwasifu wana ukomavu.
  3. A

    Lusinde: Kiti cha spika kinapwaya

    Kama ningekuwa utawala wa kifalme mimi ningependa kukipoteza kabisa kizazi chake kwani nahisi ni kizazi cha ajabu sana hasa kwa mtu kama yule kuaa mjinga kiasi kile hapana
  4. A

    Nawahurumia Wanaume wenye Sura Mbaya sana

    Kama unajifunza bhasi kamtafute aliyekufundisha ili akufunze kwani hujui.
  5. A

    Uchaguzi S/Mitaa: CHADEMA ilivyoongoza UKAWA kusambaratisha CCM kabla na baada ya Mapingamizi

    Nimependa mawazo yako na umechambua vizuri kwa hy naweza sema UKAWA ni washindi
  6. A

    UKAWA Wamshukia Kikwete kama mwewe, Dr. Slaa asema Familia ya Kikwete ni mnufaika wa Escrow

    Mapema kwa mara ya kwanza namuona JK wa 2 kwenye mabongo akiwa na kauli mbiu @ARI MPYA NGUVU MPYA nikiwa na umri kiasi ni mdogo wala sikutamani kumshawishi ata baba angu akampe kura ila nilisisitiza kwamba huyu atufari kwani ATA NDANI YA CHAMA ALIFANYA KAZI YA UCHIPUKIZI TOKA MDA so sidhani kama...
  7. A

    Prof. Tibaijuka ashauri wabunge wasiwe Mawaziri!

    Yaaani ukiwa kwenye pick ata kidogo uwezi kuongelea matatizo ya wasanii wenzio ila ukishuka unaanza kujifanya mwanaharakati hy ndo iliyo mkuta huyo Anna Tibaijuka ila wakati waziri ata akuina umuhumu wa mbunge kutokuwa waziri
  8. A

    Ukawa Mkilifanya hili, 2015 Mnashinda kwa zaidi ya 80% na kuingia Magogoni kiulaini

    Naunga mkono hoja yako kwa uzito huo huo bila mabadiliko yoyote.
  9. A

    Dr.Slaa live ITV akichambua hotuba ya Kikwete

    Ni vema kupata mawazo ya kila mtu lakini mawazo mengine ata ukisoma uoni mtu alitaka kusema nini au kulenga nini. Hapo hapana cha kujifunza
  10. A

    Wahisani wafurahishwa na hotuba ya Kikwete

    Kama wawekezaji waliweka mitaji yao katika mradi na wakaweza kuanza uzalishaji wa umeme na kuweza kuwagawia Tanesco na Tanesco wakasambaza kwa wananchi na baadae wanaingia mgogoro na Tanesco na mgogoro unaisha wanalipwa pesa yao na wanaanza kuigawa wa viongozi na watu wengine ambao ata awakuwa...
  11. A

    UVCCM yafanya Press: Yampongeza Rais kwa kulitolea ufafanuzi suala la ESCROW

    Sijapata ata siku moja kujua ni kwnin vijana tumetawaliwa na kutojitambua na kupembua masuala ya kitaifa kwa ajili ya taifa bali ni kufanya viongozi wa chama watufurahie tu.
  12. A

    Ikulu yaitisha mkutano na wanahabari Jumatatu 22 Desemba saa Tatu Kamili Asubuhi

    Kama itakuwa ni taarifa yenye maslahi kwa umma itakuwa ni habari njema
  13. A

    JWTZ latangaza nafasi

    Acha ujinga mambo ya kitoto peleka fb ww
  14. A

    Escrow yazidi kuvimba: CHADEMA wampatia kibarua kizito Rais Kikwete kuelekea Hotuba yake kesho

    Kama kula watu wanakula hii nchi kama wanavyotaka
Back
Top Bottom