Mtumishi wa Mungu ni zaidi ya raisi ni kweli ila kuongea maneno hayo siku ya Ibaada mazabahuni si sawa pia kakosa neno samehe 7×70 na ukuu wa mkoa si taluma hata la saba aweza kama anahekima na kipawa cha kuongonza
Kama sabuni inakupa fangasi safisha kwa maji mengi pia hakikisha kidole cha mkono wa kushoto kile kilefu cha kati kinaingia ndani kabisa ukikitoa kinuse kama bado kinaharufu kisafishe kisha kiludishe kikafanye usafi pakiwa safi utaona mwenyewe ukikitoa hakina hata harufu. Tahazari kisiwe na...
Hata mimi huwa sielewi kwa nini kuwe na mahakama ya kazi tena serikari iwe inalipa hao wafanyakazi wa imani moja haiwezekani waamuane ktk nyumba zao za ibaada yatosha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.