Recent content by abuujf

  1. A

    Azsky gprs for dstv, canalsat, aljazeera sport and fta. Its free no monthly subscription

    usiseme bure kaka wakati unalipia kwA mwezi
  2. A

    Makinda: Mishahara ya wabunge ni midogo, wanakuwa hoi wakimaliza ubunge

    Afadhali wao wanachoka sana je akina sie tunaokufa kwa kihoro tu cha kukaribia kustaafu
  3. A

    Ufoo saro aanika kila kitu juu ya sakata lake

    Mtu hawezi kufikia maamuzi bila kuwapo na tatizo ufooo weka tatizo ama unaona noma kusema ulijimilikisha nyumba?
  4. A

    Ninachofahamu kuhusu BAKWATA

    Kasome kitabu cha untold story of tanganyika utapata kujua kuhusu eamws na bakwata
  5. A

    Ninachofahamu kuhusu BAKWATA

    Ushahidi upo eamws haikufa bali nyerere aliifuta akaanzisha bakwata na hoja yake ilikuwa finyu tu eti eamws inaongozwa na waarabu ndio akaanzisha bakwata inayoongozwa na mswahili Kirefu cha eamws ni east africa muslim walfare society wakati bakwata ni baraza la kuua waislamu tanzania
  6. A

    Tv flat scree TLC 32" bei laki5

    Singsung bei ya znz ni laki 5 LED 32" SCREEN
  7. A

    Naomba Msaada wa kufahamu bei za TV

    Acha ushamba ww tv zote ni multsystem labda alete tv ya mwaka 80 na decoder inatoa av tu ambayo ina support format nyingi
  8. A

    Naomba Msaada wa kufahamu bei za TV

    Led singsung ukija znz utapata kwa laki 5 nchi 32 iko poa picha clear nami nishatumia mwaka iko fit. Yule wa usa ukija tz na hizo tv zitapiga kazi maana siku hizi mpaka utumie decoder so zitaconvert na umeme kamq auto voltage basi ni poa.
  9. A

    nokia wanatengeneza simu za android

    Mkuu nokia hawawezi kutengeza simu ya android coz owner mwenyewe ana os ya kwake so itakuwa ni ubwege kutumia os ya mwenzie akaiwacha yake ife ila china walikuwa wakitengeza nokia under leseni ikawa inaitwa nokia asha na juzi tu wametoa simu ikiwa na os tofauti na nokia sasa hawa kwa kuwa ni...
  10. A

    WANAOCHELEWA KUOA:miaka 35 ndo mtoto wa kwanza ni HATARI kwako na kwa mtoto

    Riziki ni mipango ya mungu kk hata ukiwahi zaa ikiwa mola ameandika tabu mtoto atapigika tu
  11. A

    Tv flat scree TLC 32" bei laki5

    Ninazo singsung led nauza laki 5 32"
  12. A

    tukiwa ndani ya chumba cha mtihani jana

    Nauza laptop
  13. A

    Je jeuri ya Ponda ni udhaifu wa Rais Kikwete? Mbona 2000-2005 hakua na jeuri na kiburi hiki?

    waislamu walosoma wakati wa nyerere wote hawana majina ya kiislamu ndo wakabahatika kupenya mfano Jakaya Mrisho Kikwete kigoma ali malima ukiwaona dotopile mzuzuri ibrahim haruna lipumba na wengineo ukiona mtu ana majina full ya kiislamu ujue huyo alisoma znz wakati huo ilipokuwa nchi kama...
  14. A

    Je jeuri ya Ponda ni udhaifu wa Rais Kikwete? Mbona 2000-2005 hakua na jeuri na kiburi hiki?

    JEURI YA PONDA NI KUTOKANA NA YEYE KUWA ANAMUAMINI ALLAH NA KUMUOGOPA YEYE TU. so kikwete au hata obama wawe na nguvu kiasi gani kwa ALLAH wao ni dhaifu tu na kaburi ndio mwisho wao. kwa muumini wa kweli hana hasara kwa mola wake akifa ni peponi, akifungwa ni itikafu kwake, na akishinda basi...
Back
Top Bottom