Haijalishi unaiweka wapi, chamsingi hakikisha sehemu za kutolea hewa nje, hazizibwi.
Pia inawezekana feni ni zima lkn ndan ya computer yako, kuna vumbi sana, Ukiweza kusafishwa itasaidia.
Ukiwa unabadili OS hakikisha unatengeneza partition hata 2,halafu ile unayo iwekea OS ipe ukubwa kadri ya mahitaji yako.
>Ukimaliza hakikisha unakwepa kuweka vitu vingi kwenye partition yenye OS, maana ikijaa pia anapelekea kuwa slow.
>ukiwa na antivirus jitahid iwe ya kwanza kuiweka kabla ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.