Wee Jamaa ni Boya sana .... #Samatta hatomaliza misimu miwili ndio ila sio kwa kushuka ... Atachukuliwa na Timu kubwa ligi zinginezo ulaya!!! Lakini ukizungumza kuhusu kupikiwa .... Haujiulizi ni kwa nini yeye ndio aliyefika hapo?? Naomba nikutukane tena kuwa wewe Ni Fala
Sent using Jamii...
Hata Primary School kunakuwaga scout ... Na si kila Shule inakuwa nayo and no one is comanded to practice coz it's an option. The same applies to Musjid's (Mosques).
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada yangu mbona unaongea vitu OP kabisa, kama haujaelewa uliza. Julius Malema amesuggest kiswahili kiwe lugha maalum kwa bara la Africa as it English to Europeans. Hakuzungumzia kuungana kimataifa kuwa taifa moja.
Habari WanaJamiiForums,
Naomba uhusike na somo hapo juu, Nimepata hizi taarifa kwa rafiki yangu EDIMUND RUSHAMBYA mwenye namba ya simu 0757068739 baada ya kunieleza kuwa amepotelewa na mtoto wake KELVIN EDIMUND hapo mwezi wa sita mwaka jana Wilayani KAHAMA.
Hivyo basi tunawaomba mtusaidie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.