Vumbi likitulia utajua kuwa umempanda faras au umempanda punda.......homa yetu hapa ni chet cha form 4 we unaanza kutoa utetez wa kipuuz usiokuwa namashiko halaf watetea cheti cha form 6...
Tuliza akili utaelewa...
Hatukatai hayo uyasemayo....
Ila baba yetu alituhakikishia kwamba system yake atakayokwenda nayo ni kuhakikisha kuwa viongoz wake wanaelimu ya kutosha....
Rejea hotuba wakat anawaapisha hao wakina bashite
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.