Recent content by Abraham Suleiman

  1. Abraham Suleiman

    JamiiForums Tanzania Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Safi sana bro, ni kitu kipya masikioni mwa watanzania wengi. Ila kadri siku zinavyokwenda wataelewa. Uzuri wa trade hakuna kuchelewa wala kuwahi. Kila siku ni mpya na opportunities zipo za kumwaga
  2. Abraham Suleiman

    JamiiForums Tanzania Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Hiyo niliyotuma inaitwa detailed report. Kwa wale wanaofanya trade wanaifahamu. Inakuwa extracted kutoka kwenye account yako ya trade. Kama inavyoonyesha nilianza na 5000 usd na ndani ya muda mfupi nikapata faida ya 19,000 usd. Lengo la kuwaonyesha hii ni kutaka kuwathibitishia kuwa jamaa...
  3. Abraham Suleiman

    JamiiForums Tanzania Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Asante kwa uzi mzuri wa kujenga. Ni kweli wapo watu wengi wanafanya trade hasa wahindi kwa hapa Tanzania. Mimi nilisikia mwaka 2012, nikajifunza mwaka mzima. Nitaweka screen shot ya kile ninachoweza kutengeneza ndani ya miezi mitatu. Kikubwa kuliko yote kwa anayetaka kujiunga kama alivyosema...
  4. Abraham Suleiman

    JamiiForums Tanzania Wakili Wasonga: Nitarudi tena mahakamani kupinga matokeo yaliyompa ushindi Tundu Lissu

    Hana Pub siku hizi, hata chamber yao ambayo yupo partner na kina Dr. Posi inachechemea vibaya. Wateja wengi wamekimbia. Anatafuta huruma za chama, pia hata wenzake wameshamchoka
  5. Abraham Suleiman

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo: Neno la shukrani kwa wote

    Pamoja kiongozi
  6. Abraham Suleiman

    JamiiForums Tanzania Wa Mazengo Complex tukumbushane

    Bila kumsahau mpishi wetu mzee Shedi na mwalimu unyamaunyama wa bweni la muungano
  7. Abraham Suleiman

    JamiiForums Tanzania SOMETHING IS WROOOONG INSIDE CCM others are running far away

    Wanachomwa miiba
  8. Abraham Suleiman

    JamiiForums Tanzania Kitendawili cha Rais wa Awamu ya Tano wa Tanzania...

    Huyo mtu wa F.F ni Hussein Mwinyi.
  9. Abraham Suleiman

    JamiiForums Tanzania Kilichomkuta Zitto: Kuna mkono wa Mtu! Yajue makundi 10 ya wanaompinga Zitto...

    Hivi kiongozi asiyekwenda ofisini kwa takribani miaka miwili kweli ana nia njema na chama? Pia alikuwa akiwadharau sana viongozi wenzeka na kujiona yeye ni kila kitu..Pasco sikutegemea uandike kitu kisicho na mashiko kiasi hichi..Zitto ni opportunist, mnafifiki mkubwa..tunaomfahamu siku nyingi...
  10. Abraham Suleiman

    JamiiForums Tanzania Nitagombea ubunge Jimbo la Segerea – Dar es Salaam

    Kila la kheri kiongozi, kura yangu unayo tayari
  11. Abraham Suleiman

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Tuhuma za uzushi zilizonihusisha mimi Ben Saanane

    Lizaboni, kwa hiyo unachosema Josephine Mushumbusi anaweza kufanya maamuzi yoyote kuhusu JF... huo ni upuuzi usio wa kawaida usiruhusu njaa na jazba za kijinga zitawale akili mpaka vidole vyako. Ipo haja ya kuanzisha chuo kipya mbadala wa kivukoni
  12. Abraham Suleiman

    JamiiForums Tanzania Ufisadi wa Waziri Lazaro Nyalandu na hongo za madaraka

    Duh, urais mwaka huu shida. La aunt ezekiel limepoa sasa limeanza hili. Baadaye litakuja lipi? Anavuta bange!
Back
Top Bottom