Jela ni amani mkuu ila kama umezoea maisha ya kula kula kila saa uraiani it will cost you a lot! Kwanza jela ni lazima ufuate taratibu za jela! Prison regulations ambazo ni ulazimu (1) kuepuka vijambo vya kila mara ni lazima muda wa kulala unywe maji lita tatu aijalishi una kiu au hauna!(2)...
Hapo mkuu umenena ukweli! Ila wababaishaji wanataka kubishana! Tatizo la watanzania wengi ni unafiki! Mfumo wa watumishi wa kiroho umeingiliwa na roho mtakavitu ndio maana siku hizi wanaubiri sadaka sadaka sadaka tuuuuu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.