Wamezingua haswa, jana kutwa nzima nimehangaika kuwasiliananao bila mafanikio mpaka saa saba usiku wa kuamkia leo ndio nikaongeanao.
Ukweli tumeharibu sana kazi zetu kwa hizi siku nne sasa ni hasara kubwa kubwa sana tumepata.
Aisee hawa jamaa itabidi walipe fidia kwa watu wote tulioathirika na haya maboresho yao, siku walizoweka bado mtandao haujakaa sawa mpaka sasa
Wengine shughuli zetu zimesimama kwa sasa
Mkuu jaribu kufanya utafiti kwanza kabla ya kuleta humu mawazo yako.
Zile bus za phase one nyingi zilikuwa zimewelewa limit ya speed (governor) na utumiaji wa limit kwa mradi ulikuwa ni mwisho 49 KPH au zingine zilikuwa 51 KPH sehemu yenye mteremko kama ubungo maji pale sio tena utadhibiti...
Tuoneshe ramani ya huo mradi ambayo imesajiliwa na wizara ya ardhi ndugu, huko bamba napahitaji kwa ajili ya watoto kuwachukulia ardhi yao miaka ya baadae ije kuwanufaisha
Pole mamii, hebu njoo kwangu nikuandae kabla hata haujatoka kwenu uwe "umeshalowa" kabisaa
Hao vijana umewakuza kwa kuwaita "wanaume"
WANAUME TUPO ILA BADO HAUJATUFIKIA hao unaokutananao ni wavulana.
Your are welcome my dear waifu material
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.