Recent content by ablood8

  1. A

    Mavazi ya RC Makonda yazua utata akipokea salamu ya kijeshi

    Na hicho kijukwaa alichokanyaga kina kama marangi ya CDM
  2. A

    Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

    Chakula cha nguruwe cha kiwandani kinapatika wapi maana kwa mie huku Mwanza nimeshindwa kupata, asante
  3. A

    Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kesho Jumanne atazungumzia maendeleo ya afya ya Mbunge Tundu Lissu

    Nadhani kwa kuwa aliumizwa akiwa kwenye shughuli za kisiasa
  4. A

    Kamanda Mambosasa: Aliyemjeruhi Meja Jenerali mstaafu, Vicent Kariongo kwa risasi auawa

    Nahisi wametaja jina bandia maana hawawezi kuzembea kiasi hicho!
  5. A

    Madiwani wa Geita waweka vizuizi lango Kuu la Geita Gold Mine kushinikiza malipo ya kodi ya Huduma

    Tangia juzi kumekuwepo na mgogoro wa madiwani wa Geita dhidi ya mgodi wa GGM, lakini cha ajabu umekuwa hairipotiwi humu JF wakati ni ishu kubwa kabisa.
  6. A

    Edward Lowassa: Ni kweli nitagombea Urais 2020

    Kwa heshima huyu mzee angapumzika apishe vijana wenye mawazo mapya!
Back
Top Bottom