Lukwafya bhagasi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 1,236
- 1,249
Huku kwetu ni viwanda tu na tumeambiwa tuwe wazalendo
Salaam zimfikie Waziri Ummy Mwalimu popote alipo.View attachment 625580
Dr. Mwele Ntuli Malecela ameshinda tunzo Kyelem 2017 kutoka chuo Kikuu cha Liverpool School of Tropical Medicine kwa mchango wake mkubwa katika kutokomeza magonjwa ya Nchi za kitropic.
Kabla yakuwa mkurugenzi kwenye ofisi za WHO/AFRO Dr Mwele Ntuli Malecela alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa Nchini kabla hajafukuzwa kazi na Rais
Ni Mkurugenzi wa WHO AfricaKuna tofauti kubwa kati ya kuwa mtafiti, na kuwa kiongozi
Maybe Mwele alikua researcher mzuri sana lakini hakua na same qualities kama kiongoxzi wa institution
Wala hajatumia vyeti vya mtu mwingineHuyu hakukariri alisoma Na kuelewa
Kashamtumbua mapema tuHonestly yule mama was overconfident. I love that!
Yule mama ameshatumbuliwa tayari.Nimeona clip mtandaoni Hiyumani fesi akimkemea mama mmoja, Yule mama anajiamini kweli kweli
Bahati mbaya kwake ametumbuliwa. So sad!Honestly yule mama was overconfident. I love that!
Mkuu heri umeliambia hili yaaan kuna watu wana roho mbaya wako tayar hata kuongopa ili tu kuhalalisha uzazwa wa baba jurgen inasikitisha kweli!!!!Ni Mkurugenzi wa WHO Africa
Uandishi wako huwa unanipa tabu sana kuelewa. Mungu nisaidie niwe naelewa kwa wepesi maandiko ya huyu ndugu.Hongera kwake
Kuwemo nchini na kuzingirwa na ya siasa..
Kuna uwezekano mkubwa siyo mtu huyo ni robot inajibu tu kadri ya programm inavyomtuma kuandikaHuwa unaandika nini wewe mtu?
Nilifikiri niko peke yangu ambaye hua napata taabu kuelewa maandiko yake.Huwa unaandika nini wewe mtu?
Jiwe lililokataliwa na wahunzi limekuwa jiwe kuu la pembeni.View attachment 625580
Dr. Mwele Ntuli Malecela ameshinda tunzo Kyelem 2017 kutoka chuo Kikuu cha Liverpool School of Tropical Medicine kwa mchango wake mkubwa katika kutokomeza magonjwa ya Nchi za kitropic.
Kabla yakuwa mkurugenzi kwenye ofisi za WHO/AFRO Dr Mwele Ntuli Malecela alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa Nchini kabla hajafukuzwa kazi na Rais
He,heh....kumbe sipo peke yangu..nilijua mm ndo mgumu kuelewa kumbe ni kweli haelewekiHuwa unaandika nini wewe mtu?
Sigara kali umenifurahisha Sana, this is the REAL personality of our presidaa, tumuombeeAibu kwa Magufuli zee la mihemko,wivu,majungu,mipasho,fitna,visasi