Nimeona pia kuna mchanganyiko na nimepitia thread iliyoletwa na jamaa sivani.
Kumbe umomi na kigorohe ni maneno ya kikurya ,nilihuzunika baada ya kuona taarifa sasa hivi nipo tu sielewi .
Mimi mmenikera mno nilitumia bando vibaya la mwezi nakuja kushangaa eti mmepandisha bei hivyo mpaka sioni pa kujiungia kabisa . Nimehamia voda mpaka nitakapoona nafuu huko kwenu .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.