Recent content by Abishola

  1. A

    Ulishawahi kutengwa na marafiki?

    Nimeona pia kuna mchanganyiko na nimepitia thread iliyoletwa na jamaa sivani. Kumbe umomi na kigorohe ni maneno ya kikurya ,nilihuzunika baada ya kuona taarifa sasa hivi nipo tu sielewi .
  2. A

    Ulishawahi kutengwa na marafiki?

    haha ngoja tuone huu utakuwaje
  3. A

    Ujumbe kutoka TTCL

    Wanakera hao Mara mia voda kuliko wao.
  4. A

    Ulishawahi kutengwa na marafiki?

    Kama ulivyofanya wa meja kunta
  5. A

    TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

    Mimi mmenikera mno nilitumia bando vibaya la mwezi nakuja kushangaa eti mmepandisha bei hivyo mpaka sioni pa kujiungia kabisa . Nimehamia voda mpaka nitakapoona nafuu huko kwenu .
  6. A

    TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

    Kwa nini mmeweka bei kubwa hivyo Nahama bye bye tutarudi mambo yakikaa shwari ..
Back
Top Bottom