Recent content by abisai muhanji

  1. A

    Wanaume Maofisini Ndo Chanzo Ladies Kugoma Kuolewa na Broke Men. Men are so harsh on others wives

    Hizi zingine Tamaa tu, hii ndio mijike tuliyonayo karne hii...inapenda kununuliwa nunuliwa vitu tu, na watu ambao sio waume zao, kwa nn usifanye hiyo kazi yako ofisini ukarudi kwako.
  2. A

    Tanzania yenye Neema: Madini ya Almasi yagunduliwa mkoa wa Singida

    "Tatizo ni kwamba tunaandaa sera Nzuri ambazo ukizisoma katika mtindo wa nadharia Unaweza ukasema sasa baada ya Utaratibu wa uchimbaji kuanzishwa wananchi watanufaika sana, lakini mwisho wa siku inabaki kuwa nadharia tu, ni vyema utekelezaji wa Sera za Uchimbaji wa madini ukasimamiwa ipasavyo na...
  3. A

    TBC1 hawana pesa ya kurusha bunge ila wana pesa ya kumrusha Makonda

    Kuna watu hawamjui Mkuu wa mkoa wao, hivyo ni vizuri pia akarushwa kwenye TV wakamuona.
  4. A

    Vitu vitano wasichana huangalia kwa mwanaume ndani ya sek 50 wakikutana kwa mara ya kwanza

    Ukweli ni kwamba hakuna formula katika hizi mambo aisee......
  5. A

    Vitu vitano wasichana huangalia kwa mwanaume ndani ya sek 50 wakikutana kwa mara ya kwanza

    Mi nadhani haya mambo hayana Formula kabisa, mtu anaweza akakukubali kwa kuridhishwa na hivyo vyooote ulivyoorodhesa hapo juu lakini ukakosa vitu vya msingi zaidi ndani yake....hata hiyo ku-look forth finger...unaweza vaa pete halafu ukawa haujaoa,,,, so ikawa mtazamo hasi...........Jambo la...
  6. A

    Mnyika tumekupa Madiwani wote, watendaji wote lakini barabara hazipitiki

    Hivi hakuna vifungu vya kuwashitaki viongozi wanaotoa Ahadi kwa wananchi halafu wanapopata uongozi hawatimizi??? Kwann Hakugombea alipokuwa Awali??
  7. A

    Msaada wa namna ya kufuta michoro mwilini bila kusababisha madhara (Tattoo)

    Pole sana hizo ndio athari mojawapo za Utandawazi... na ubaya wa tattoo hata ukizifuta bado huacha kovu kubwa tu,
  8. A

    Dr. Hamis Kigwangalla afanya ziara ya kushtukiza Hospitali ya Amana

    Vyema sana Mheshimiwa Waziri D.k HK kwa kufanya ziara takatifu,katika hospitali zetu ambazo zina mapungufu mbali mbali hususan katika utoaji wa huduma na mapungufu ya madawa na vifaa mbalimbali, pia watanzania tuwaunge mkono viongozi kama hawa wanaowajibika kwa ajili ya Wananchi........HAPA KAAAZ TU
  9. A

    Msaada wa kisheria: Nilipigwa na kuvutwa korodani zangu na Mapolisi

    inasikitisha sana hata wakishindwa kksaidia mungu atakusimamia tu
  10. A

    PhD YENYE HESHIMA

    Kulingana na mtazamo wako inawezekana ikawa kweli ni phd yenye heshma
Back
Top Bottom