kuwa mchungaji haina maana ya kuondokewa haki yake ya faragha. kipi ni kosa kwenye taratibu za nchi yetu endapo mchungaji ameamua kujihusha na mapenzi. hili ni shambulio la aibu, mchungaji atiwe moyo awashtaki hawa watu. kuna umuhimu wa serikali kuangalia utendaji wa haya magazeti kama...
nyongeza ya visababishi; 1.kiwango kidogo cha homoni za kiume, 2. kuwa na mafuta mengi mwilini 3. kuwa na BP, 4. matumizi ya madawa kama ya kuzuia depression (antidepressants),ya kupunguza maumivu n.k 5. kuwa na depression, 6.maradhi ya ubongo kama stroke. kwa ushauri...
viagra huwa zinafanya kazi kwa kuimarisha mzunguko wa damu, kwa hiyo kama tatizo sio mzunguko, viagra haiwezi kukusaidia. na maajabu unayoweza kuyaona ni kigegedo kupoteza network mara kwa mara. kwa ushauri/virutubisho ni pm.
kwa uzoefu wangu, mwenye haya matatizo anaweza akawa na, 1.depression 2.kiwango cha chini cha homoni za kiume na 3.mzunguko wa damu sio mzuri. kwa hiyo ni vyema kujifahamu kwamba je una depression? je huwa unakosa hamu ya tendo la ndoa? na je kigegedo hakiko imara? ukiwa na uwezo wa kujibu hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.