Kama unaweza, hakikisha kila siku asubuhi unapata kijiko kimoja cha asali kabla ya kula kitu then hakikisha unakimbia angalau kilomita 2 mpaka tatu asubuhi sana na jasho hakikisha linatoka la kutosha.
Usifanye mapenzi kwa muda kidogo, angalau week 3. Kama unapiga nyeto, acha
Mmh evidence iko wapi juu ya haya ya bwana madowo? Kama huna evidence yoyote huu nao ni umbea kama umbea mwengine. Tuonyeshe evidence ya yeye kufukuzwa kwenye hivyo vituo!
Mama samuya wamemlagai sana wana mtandao ona sasa kachafuka kila kona ya dunia!! Ni raisi wa kwanza tanzania kushitakiwa ICC” jeuri,zarau,kiburi havijawai kumuacha mtu salama asee hii ni mbaya kwa taifa la tz nani mbaya zaidi kwa serikali na samia’ Mungu ibariki tanzania ila hawa wahaini wote na...
Badae naonana na mtoto wa kike kwenye mahindi huko shambani ndo sehemu yamakutano kabeba trei la mayai kaniletea tobaaa😂😂😂😂 haya naenda kusema nimetoa wapi😂😂😂😂 nikachukua lile trei alivyosepa nikaanza kulengea kware yale mayai mpaka yakaisha nikarudi zangu om ni kisanga aisee sijui yule dada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.