Recent content by abidemi

  1. A

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    💯
  2. A

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    😂😂😂😂😂 noma sana walahi siku 3 uvunguni buddah
  3. A

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Jikaze buddah achana na jamaa manzi keshaliwa. Mpotezee huyo manzi anza upya
  4. A

    JamiiForums Tanzania Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

    Buddah 😂😂😂😂 wewe sio mkatoliki bana
  5. A

    JamiiForums Tanzania Shilingi imegeuka: Siku hizi wanawake wanateseka mnoo kwenye mahusiano

    😂😂😂😂 mambo yasiwe mengi buddah!! Sasa utamwambia nini kipya ambacho hajawai ambiwa?
  6. A

    JamiiForums Tanzania Shilingi imegeuka: Siku hizi wanawake wanateseka mnoo kwenye mahusiano

    Na hii ya wao kuachana nakurudi” unajua wanawake akikaa na wewe akakuzoea ataleta mazoea haijalishi una bunda au laah!!! Unaweza kumpa kila kitu na bado akaenda kulala na jamaa mmoja mzembe tu” ukiamua kumuacha ukaondoka apo ndo shida inaanza anakuwa hakupendi ila zile moment na memories ndo...
  7. A

    JamiiForums Tanzania Shilingi imegeuka: Siku hizi wanawake wanateseka mnoo kwenye mahusiano

    Hawa gen Z ndo wameharibu hii dunia walahi😂😂 mambo yao rahisi sana yani unakutana na kadada asubui jioni unaweka🙌🏼 sasa kwa mazingira hayo mwanaume hawezi kusumbuliwa maana kupata sex ni easy na ndo kikubwa wanaume tunataka, tofauti na zamani pussy ndo iyo iyo moja mtaa mzima mnafukuzia demu...
  8. A

    JamiiForums Tanzania Mdogo wangu Eeh! Kuoa mwanamke ambaye familia yake imekuzidi kila kitu ni mtihani sana. Usithubutu!

    Sikiliza man unzingua!!! Power uliyo nayo unapaswa kujua wewe ndo mume wa huyo mkeo” wewe unahisi kwenye ndoa power ni pesa tu? Simama kiume wanawake hawapendi wanaume waoga na wanaolialia unataka umuhakikishie ulinzi sasa wewe uwoga umekunaa sijui pesa sijui magari😂😂 unafeli huyo mke mpaka...
  9. A

    JamiiForums Tanzania Mdogo wangu Eeh! Kuoa mwanamke ambaye familia yake imekuzidi kila kitu ni mtihani sana. Usithubutu!

    Wewe umekubalije kuletewa izo zarau mkuu?? Next time mwanamke kama mmekosana kaenda kwao marufuku kumfata kaa kimya endelea na maisha mzee!!!! Huo ni uzaifu mkubwa umeonyesha your a man, be a man.
  10. A

    JamiiForums Tanzania Kama wao tu ndani ya chama mtu akisema ukweli ana lazimishwa ajiuzulu ndio wawaletee katiba mpya?

    Pole pole usimsahau!!! Nashangaa kwnn ccm hawapendi ukweli walahi!!! Yani kwao mtu akiwa anasema kweli hapendi uhuni wanaoufanya ni threat kwao😂
  11. A

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya harufu mbaya kinywani imekuwa ikiwapata watu wengi kwa miaka hii

    Utakuja kuua raia jombaa
  12. A

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tume imetambua vifo 518 wakati wa maandamano ya Mo29. Wamekiri, watatokaje?

    Hata kama ni hao bado sio ninwengi sana raia500 kufa bila hatia bado hamuachi salama samia hii ni mbaya kuliko!!! Usicheze kabisa na damu za raia
  13. A

    JamiiForums Tanzania Nachoka sana baada ya tendo la ndoa, nifanyeje?

    Kama unaweza, hakikisha kila siku asubuhi unapata kijiko kimoja cha asali kabla ya kula kitu then hakikisha unakimbia angalau kilomita 2 mpaka tatu asubuhi sana na jasho hakikisha linatoka la kutosha. Usifanye mapenzi kwa muda kidogo, angalau week 3. Kama unapiga nyeto, acha
Back
Top Bottom