Recent content by abidemi

  1. A

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya harufu mbaya kinywani imekuwa ikiwapata watu wengi kwa miaka hii

    Utakuja kuua raia jombaa
  2. A

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tume imetambua vifo 518 wakati wa maandamano ya Mo29. Wamekiri, watatokaje?

    Hata kama ni hao bado sio ninwengi sana raia500 kufa bila hatia bado hamuachi salama samia hii ni mbaya kuliko!!! Usicheze kabisa na damu za raia
  3. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nachoka sana baada ya tendo la ndoa, nifanyeje?

    Kama unaweza, hakikisha kila siku asubuhi unapata kijiko kimoja cha asali kabla ya kula kitu then hakikisha unakimbia angalau kilomita 2 mpaka tatu asubuhi sana na jasho hakikisha linatoka la kutosha. Usifanye mapenzi kwa muda kidogo, angalau week 3. Kama unapiga nyeto, acha
  4. A

    JamiiForums Tanzania Larry Madowo, Minister wa habari mbaya za Afrika

    Mmh evidence iko wapi juu ya haya ya bwana madowo? Kama huna evidence yoyote huu nao ni umbea kama umbea mwengine. Tuonyeshe evidence ya yeye kufukuzwa kwenye hivyo vituo!
  5. A

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mashtaka ya ICC: Wakichomoka kwenye kesi ya maandamano, bado watakabiliwa na kesi ya enforced disappearance. Wana wakati mgumu sana

    Mama samuya wamemlagai sana wana mtandao ona sasa kachafuka kila kona ya dunia!! Ni raisi wa kwanza tanzania kushitakiwa ICC” jeuri,zarau,kiburi havijawai kumuacha mtu salama asee hii ni mbaya kwa taifa la tz nani mbaya zaidi kwa serikali na samia’ Mungu ibariki tanzania ila hawa wahaini wote na...
  6. A

    JamiiForums Tanzania Hii mikwaruzano ya ukatoliki na serikali haiwezi kuamsha chuki baina ya wakatoliki na waislam?

    😳😳😳 imekuwaje tena si miezi3 tu imepita tangu tusomewe deni la taifa?
  7. A

    JamiiForums Tanzania Vesi Kali za Hip Hop Bongo

    Oten ft afande sele tusahau
  8. A

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mzee Clemence Mwandambo adaiwa kutekwa usiku wa kuamkia leo, Novemba 22, 2025

    Hawa wahauni sasa hivi ni kujihami tu muda wote natembea na silaha yangu atakae niletea shobo nalala nae mbele.
  9. A

    JamiiForums Tanzania Jumuiya za kimataifa haziwezi kufanya chochote dhidi ya serikali dhalimu zaidi ya matamko na vikwazo ambavyo madhara yanarudi kwa Wananchi

    Sawa this time tumejipanga hatutaki fujo ila mkianzisha fujo tuta act accordingly
  10. A

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Video nyingi za CNN kuhusu mauaji Tanzania ni AI

    Em tupe Em tupe video zako tuone mkuu!!! Unataka kusema kwamba watu hawakufa mkuu?
  11. A

    JamiiForums Tanzania Kufukua maiti zilizooza inahitaji Posho Nene!

    Hata wakiwapa dili tumeshaweka camera huko tutawanasa wakifukua hata iwe usiku manane sa8 usiku tutawaona
  12. A

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Video zaidi ya 300 za mauaji yaliyofanywa wakati wa uchaguzi zimewekwa kwenye google drive: Pitia link hii

    Aiseee hii balaa walahi mama ana roho mbaya kinoma huyu aisee raia zimeondoka walahi😭😭 sijui kwanini nimeangalia asee mungu tuondolee huyu kiumbe ikikupendeza
  13. A

    JamiiForums Tanzania Wakumbuka nini enzi za shule ya msingi?

    Badae naonana na mtoto wa kike kwenye mahindi huko shambani ndo sehemu yamakutano kabeba trei la mayai kaniletea tobaaa😂😂😂😂 haya naenda kusema nimetoa wapi😂😂😂😂 nikachukua lile trei alivyosepa nikaanza kulengea kware yale mayai mpaka yakaisha nikarudi zangu om ni kisanga aisee sijui yule dada...
Back
Top Bottom