Mimi mwenyewe Mke wangu hajapata namba ya NIDA lakini line haijafungwa mpaka sasa,mpaka naona usalama kwa wenye tabia mbaya ni Mdogo sana kama ni wengi ambao hawajasajiliwa na kutofungwa line
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Startime kwanini munatunyanyapa wenye ving'amuzi vya dishi dhidi ya ving'amuzi vya antenna wenye antena wanapata clouds sie wenye madishi hamujaturudishia clouds na king'amuzi cha antenna ni bei ndogo sana kuliko cha sie wenye dish lakini bado sie wenye dish ambalo ni labei juu hutuipati...
Chukua azam mie natumia Startime changamoto haina clouds azam azam lakini ina Chanel utv Habari sambili huwa na enjoy sana nikienda bar kutizama,jingine ligi ya ndani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hasa hotel moja barabara ya Lindi gharama balaa bora ng'ambo ya barabara wale washikaji bei zetu wamezingatia sana,nikishuka tu katika bus mbio chini ng'ambo ya barabara
Awamu iliyopita nayo kuna mambo ililalamikiwa mno,kumbuka ya ulimboka kumbuka walimu wamewahi kutangaza mugomo,awamu hii sijasikia mgomo,SOMA USITEGEMEE KUAJILIWA SIE WA LA SABA TUNALIMA NJOONI TULIME WOTE
Pombe wote?,ingawa sio kichaa kufukuza fukuza watumishi wa serikali,Muda mwingine wanakela watataka wanavyotaka wao kadri walivyozoea awamu zilizopita,mf. Anaambiwa kajaze mafuta ya lak dereva anajaza ya sabini,thelathini kushoto sasa mama anaingia shely mwenyewe fitina zinaanza
Nakupongeza kwa kuwa unakumbuka kulilipa,huo mtihani sio wewe tu,wengi tuna hilo tatzo bora wewe deni kwa mtu sie wengine bank rejesho lak5 mwezi bado miezi10
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.