Recent content by Abel james

  1. A

    Nafasi ya ualimu wa private au serikalini

    huo uandish,wew hufai hata kuwa mwl wa vidudu
  2. A

    Natafuta mdhamini wa masomo

    mim naitwa abely,ni mkazi wa iringa,natokea katika familia duni kiuchumi,elimu yangu ni kidato cha sita na nimehitimu mwaka 2013 na kufahuru tuu vizuri ila kutokana na tatizo hilo mwaka jana sikufanikiwa kuendelea na elimu ya juu,ila mwaka huu nilituma maombi kwa ngazi ya diploma ya ualimu na...
  3. A

    Wasichana mliochaguliwa Mtwara TC, natafuta Rafiki wa kimasomo

    Jaman mwenzenu ni mvulana na nimechaguliwa mtwara TC Ni mgeni sana wa hayo mazingira, kiufupi nahitaji rafiki wa kike atakae kua kampani yangu kimasomo wakati wote ntakapokua chuoni, awe na uelewa na anaejiamini, naomba anitafute kupitia 0763175935.
  4. A

    Natafuta ajira English Medium Schools

    umeona eeh!wakinisaidia ntashukuru sana manake too tired
  5. A

    Natafuta ajira English Medium Schools

    Naitwa abel kikimba,umri wangu ni miaka 26,elimu yangu ni form six na vyeti vyangu ni vizuri kabisa ,nimeshindwa kuendelea na elimu ya juu kwa kukosa pesa na msaada,hivyo nawasilisha ombi la kazi ya ualimu kwenu,kwa masomo ya english,history,pia sayansi,uwezo wangu ni mzuri katika kufundisha na...
  6. A

    Tatizo kuhusu usajili wa NACTE

    alikosea jina kwenye cheti au alitumia jina la mtu kwenda diploma?manake tz mnachakachua mpaka majina ya watu,uwe waz mkuu
  7. A

    Sababu zinazompelekea mwanamke kutoolewa hata kama ni mzuri wa sura na wanaume kutooa

    SABABU ZINAZOMPELEKEA MWANAMKE KUTOOLEWA NA WANAUME KUTOOA HA TA KAMA WANAPENDA, Hii ni special kwa wale ambao hatujaoa ama kuolewa na tunapenda sana iwe hvyo ,zifuatazo ni baadh ya sababu hzo: 1;mapenz ya kiholela,wanawake weng ni wepes wa kuvua chupi zao hasa wakiwa kwenye mahusiano...
  8. A

    Jamani mwenzenu nahisi demu wangu amenisaliti usiku wa kuamkia leo

    mwanangu kwa nch yet usipokubal kuliwa huli so lazima kdogo uliwe,hlo alilisema presider wetu ndo maana michepuko kibaooo!
  9. A

    Welcome to enjoy and have true love

    utapata tuu kaka usikonde
  10. A

    Mwanamke kumwambia mwanaume amempenda je ni kujidhalilisha

    mie ntafurah acha,chezea kupendwa wewe !
  11. A

    Nihonge kiasi gani baada ya kugegeda?

    wanaohonga wote ni washamba na hawajui maana ya mapenz,mie sijawah toa ata mia na kila demu ananililia niwe wake na wengine wanathubutu mpaka kunitongoza,mapenz ni hisia ndugu zangu shauri yenu
  12. A

    Faida za kufanya Tendo la ndoa

    nimewakubali kinouma
  13. A

    Kwanini Wanaume Wana Chuchu (Nipples)?

    haya bhana pamoja na sababu za organic evolution,mungu aliziweka pia kama kiungo kizuri kwenye mapenzi,wewe mtafute mpenz anaejua kunyonya akunyonye vizuri,weee!utaanza kuiona heaven hii hapa utahsi unaelea angani,patamu wee acha
  14. A

    Mizani mpya ya kupimia wanyama - Ugunduzi wa Kitanzania

    ila kwel,ndo BRN kizazi cha maboya kila kitu ni mwendo wa ku duplicate tu ,na kama imeweza kuwapa wa kidato cha nne na sita makisi za bure itashindwa huo mzani!
Back
Top Bottom