Recent content by Abedibukulu

  1. Abedibukulu

    Tundu Lissu kushtakiwa Mahakama ya Kimataifa kutokana na mahojiano aliyofanya na BBC

    Ushaidi upi anataka wakati waziri wa mambo ya ndani alithibitisha kuokotwa kwa maiti ufukweni na waziri mkuu nae ali thibitisha
  2. Abedibukulu

    Makonda, tulikuambia ngoma ya watoto haikeshi hukusikia

    Kweli ngoma ya watoto haikeshi wacha wakubwa wa keshe
  3. Abedibukulu

    Hatimaye Mheshimiwa Rais Magufuli kutembelea Kagera, Wapinzani mtakuja na ngonjera ipi tena?

    Huko ni kwenda kutonesha vidonda vya watu ambao tayari wamesha anza kusahau matatizo where he was been wakati matatizo Mh rais ameenda kushughuli zake huko sio kuto pole
  4. Abedibukulu

    ‪Rais Magufuli: Viongozi wa dini mnivumilie kwakuwa fedha zitaendelea kupotea hata kanisani...‬

    Kingozi ambe ana entrepreneur mind huyo ni bure hawezi kuona fursa
  5. Abedibukulu

    Wapiga ndio wana lalamika pesa ngumu

    Hivi kumbe Nchii inawapiga dili wengi ndio maana mna lalamika pesa hakuna ni hatari sna Mama lishe wapiga dili Bodaboda wapiga dili Machinga wapiga dili Makonda na madereva wapiga dili Wauza mboga mboga wapiga dili Kweli Nchi yetu hilikuwa imefika pabaya lakini swalo je? Mipga dili niyule...
  6. Abedibukulu

    ‪Rais Magufuli: Viongozi wa dini mnivumilie kwakuwa fedha zitaendelea kupotea hata kanisani...‬

    Pole watanzania wenzangu ambao mliamini Mh Magufuri ni bora zaidi ya chama chake na mkaaminishwa nijembe tinga tinga burudoza mkapa majina mengi mazuri na mkasahau kua ccm awana jipya kwa Taifa letu Huu ni wakati wa watanzania kujifunza na kuacha kejeri kwa vyama vya upinzani hivi kweli hadi...
  7. Abedibukulu

    Lowassa: CCM isijidanganye

    Andiko lako refu lakini halina maana ccm hitatoka madalakani na itatolewa na wananchi awa awa ambao mnawaona marofa,washenz ,wajinga , wapumbavu watu wasio n mwelekeo Mme kuwa mkidharau maoni na mawazo yao Rasimu ya katiba mpya ambayo hilikuwa na rafiki kwa wantazania wote imedharaulika na...
  8. Abedibukulu

    Lowassa: CCM isijidanganye

    Swala sio Lowasa kuwa rais swala mi ccm kutoka madalakani tumechoshwa kuongozwa na chama butu
  9. Abedibukulu

    Kesi ya Lema: Upande wa Serikali wapinga Rufaa, arudishwa rumande

    Kwani amekwisha tiwa atian na kuukumiwa hadi kuvaa vazi la kifungwa
  10. Abedibukulu

    Kesi ya Lema: Upande wa Serikali wapinga Rufaa, arudishwa rumande

    Kuna tofauti kubwa kati utabiri na maono kaka uje lema haku tabiri lakini aliona maono
  11. Abedibukulu

    Kesi ya Lema: Upande wa Serikali wapinga Rufaa, arudishwa rumande

    Akili ndogo inatawala akili kubwa kweli wao wanafikiri kumhuweka ndani Mh Lema ndio chanzo cha kupata jimbo la Arusha mjini watu wanataka mabadiliko katika maeneo yao unapo mhuweka ndani mpigania haki zao tambua unachochea chuki na hasiri dhidi ya serikali hiliyo madalakani
  12. Abedibukulu

    CCM Mambo Yanaenda Vibaya. Tusijidanganye

    CCM wana jari masilai yao binafsi na sio Taifa
  13. Abedibukulu

    CHADEMA hata kama tunajivua kupotea kwa Ben, hili la Mashinji kugawa vyeti msituni linazua maswali

    Akili kubwa haiwezi kutawala akili ndogo mtoa post naamini wesio mwanachama wa CHADEMA wewe ni kibaraka wa genge la watu Fulani hadi taarifa kuenea za kupotea kwa Kamanda Ben wana chama na makamanda wote wa Chadema hawaja sikia tofauti yoyote kati ya Kamanda Ben na viongozi wa chama chake Kama...
  14. Abedibukulu

    Je, ni nani haswa Wanatafutwa JamiiForums?

    Binafsi naona ni sisi vijana wote ambao tuna simama na kupaza sauti kwa kuhoji mambo ya msingi yanayo litafuna Taifa letu wakati wao hawataki kosolewa na pia ni vijana ambao tume diriki kuenzi na kufanyia kazi kauli ya ayati baba wa Taifa mwl Nyerere vijana tunapaswa kuhoji maswala ambayo ni ya...
  15. Abedibukulu

    Yanayojiri Mwanza Mjini: RC, DC na CD hawataweza tena kukalia ofisi zao

    Mabula ni mnafiki alipo kuwa kaimu meya wa Jiji la Mwanza 2010/2015 alikuwa akiwachukia sana machinga alikuwa akingombana sana na wenje kisa machnga Leo hii anajifanya anumia sana na kuwatupia lawama viongozi wenzie
Back
Top Bottom