Kila anaetetea mada,ana anaanza "mimi nadhani" mara "Mimi nahisi" ilimradi tu tafrani,kama unahisi au unadhani si ukae kimya uwaache wenye kujua,sababu ukiulizwa swali huwezi kujibu.Hapa hatuzungumzii siasa za kidemokrasia zile za mtu yuko huru kumchagua anayemtaka.
Tubadilike haya si...
Sasa mbona unachanganya mada mzee ? Suala ni uwepo wa laana au mpaka nimuone ? Kwa akili ya kawaida mwenyewe jijibu mzee.Sasa utamtambuaje ? Kwa macho huwezi kumtambua suali ni sawa sawa na kuuliza je unaweza kumjua mwanamke aliyeachika kwa kumtazama ? Jibu ni huwezi.
Haya,unataka kusema nini...
Laana ipo mzee kama unabisha jaribu uone.Laana ni adhabu apeyo mtu baada ya kudhulumu nafsi ya mwenzie yaani kumfanyia ubaya au kumkosea Allah.
Kuna laana itokayo moja kwa moja kwa Allah kama vile laana aliyopewa ibilisi na kuna laana ambayo unakuta mja fulani amemdhulumu mja mwenzake,sasa yule...
Sio kweli wala sio lazima na ni makosa kumlaumu mtu ambaye amefika chuo kikuu akawa hana kiingereza kizuri.Kuna vitu vingi umesahau ulipokuwa unawasilisha mada yako.
Lazima ujue ya kuwa je kiingereza ni lugha ya ngapi katika eneo husika.
Pili lazima ujue ya kuwa kiingereza ni lugha ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.